Kama sio Agenda ya kutuhamisha kwenye kudai Bandari yetu WATANGANYIKA ,hapa simuoni mwanafunzi.Mwanafunzi kidato cha tano wa Shule ya Sekondari Panda hill, Esther Noah (18) amesema chanzo cha kutoroka shuleni ni kunyanyaswa kingono na mwalimu wa shule hiyo anayejulikana kwa jina la mwalimu Jimmy.
View attachment 2675660
Haha ualimu kazi baba jeni alimtongoza hakumbaka kazi ipo.kanyoa kiduku chake fresh ndo ameanza kufunguka
ExactlyHaka katoto kamelishwa Maneno na Mpwayungu Village ili kuwachafuwa walimu.
Ningekuwa Mwalimu katoto kadhenzi kama haka siko tayari kukapokea kwenye shule yangu.
Na yule Askofu wa Chadema ndio ameshika bango kukatetea haka katoto kahuni.
Mwalimu Jimmy tutamsemea sisi, kukaa kimya ni busara, uongo ni jambo la muda tu, Bali ukweli usimama daima.Dogo kapangwa uyo aseme nni, kwa muuza mkaa alikua anafanya nn mpka chanzo kiwe kwa mwalimu??? Tunamsubiri mwl jimmy aongee
Najiuliza maswali;Mwanafunzi kidato cha tano wa Shule ya Sekondari Panda hill, Esther Noah (18) amesema chanzo cha kutoroka shuleni ni kunyanyaswa kingono na mwalimu wa shule hiyo anayejulikana kwa jina la mwalimu Jimmy.
View attachment 2675660