Wanafunzi wa sekondari wamnunulia mwalimu wao baiskeli

2025DG

JF-Expert Member
Jan 30, 2023
508
1,426
Ni hisia za furaha zilizopitiliza hadi kuleta machozi katika mashavu ya Emmanuel Kipaho ambaye ni mwalimu katika Shule ya Sekondari Chamwino mkoani Dodoma baada ya kupewa zawadi ya baiskeli na wanafunzi wake.

Tukio hili linarandana na msemo unaosema ‘chanda chema huvikwa pete’, naam!

Hivi ndivyo unavyoweza kusema kwa jabali hili la somo la Hisabati ambalo hutembea takriban kilomita nane kila siku kuwahi kutimiza ndoto za watoto wa Kitanzania katika shule hiyo.

Kutokana na kujitoa kwa mwalimu huyo, wanafunzi wanaosoma kidato cha sita katika shule hiyo waliamua kumshtukiza kwa kumzawadia baiskeli.

“Kwangu ilikuwa ni surprise (kushtukiza) nilipigiwa simu na mwalimu mkuu msaidizi akinieleza kuwa wanafunzi wananihitaji shuleni Jumamosi (Julai 29, mwaka huu).

Nikamuuliza kuna nini, hakunijibu badala yake akaniambia hafahamu,”amesema Kipaho.

Mwanafunzi wa Kidato cha Sita, William Zawadi amesema wazo la kumpatia zawadi mwanafunzi huyo lilikuja baada ya kutambua kuwa wanafunzi wa shule nyingine hawakuwa wamefika mbali kama wao walipofika.

Amesema mara baada ya kumaliza likizo, walijadiliana na kuona kuwa wamnunulie baiskeli atakayoitumia kama usafiri kwenda na kurudi shuleni kwa sababu wanafunzi hao hawakuwa na uwezo wa kumnunulia gari.

Amesema katika fedha zao za matumizi kila mwanafunzi alijitolea Sh5, 000 na kufanya jumla ya Sh190, 000 wakaenda kumnunulia baiskeli.
 
Ni hisia za furaha zilizopitiliza hadi kuleta machozi katika mashavu ya Emmanuel Kipaho ambaye ni mwalimu katika Shule ya Sekondari Chamwino mkoani Dodoma baada ya kupewa zawadi ya baiskeli na wanafunzi wake.

Tukio hili linarandana na msemo unaosema ‘chanda chema huvikwa pete’, naam!

Hivi ndivyo unavyoweza kusema kwa jabali hili la somo la Hisabati ambalo hutembea takriban kilomita nane kila siku kuwahi kutimiza ndoto za watoto wa Kitanzania katika shule hiyo.

Kutokana na kujitoa kwa mwalimu huyo, wanafunzi wanaosoma kidato cha sita katika shule hiyo waliamua kumshtukiza kwa kumzawadia baiskeli.

“Kwangu ilikuwa ni surprise (kushtukiza) nilipigiwa simu na mwalimu mkuu msaidizi akinieleza kuwa wanafunzi wananihitaji shuleni Jumamosi (Julai 29, mwaka huu).

Nikamuuliza kuna nini, hakunijibu badala yake akaniambia hafahamu,”amesema Kipaho.

Mwanafunzi wa Kidato cha Sita, William Zawadi amesema wazo la kumpatia zawadi mwanafunzi huyo lilikuja baada ya kutambua kuwa wanafunzi wa shule nyingine hawakuwa wamefika mbali kama wao walipofika.

Amesema mara baada ya kumaliza likizo, walijadiliana na kuona kuwa wamnunulie baiskeli atakayoitumia kama usafiri kwenda na kurudi shuleni kwa sababu wanafunzi hao hawakuwa na uwezo wa kumnunulia gari.

Amesema katika fedha zao za matumizi kila mwanafunzi alijitolea Sh5, 000 na kufanya jumla ya Sh190, 000 wakaenda kumnunulia baiskeli.
Kipato Cha Mwalimu kinaruhusu kununua baiskeli Hadi pikipiki.

Huyo Mwalimu angeachwa atembee Kwa miguu hivyo hivyo,mimi.mtoto wangu hawezi kuja kuniomba pesa za Kuchezea eti mchango wa baiskeli ya Mwalimu.

Walimu kama huyo wanaiabisha Serikali na taaluma.
 
we mzazi tindo unaujua mshahara wa mwalimu?
We fala nini,baba yangu ni Mwalimustaafu, naongea nachokifahamu.

Kwa taarifa Yako Walimu ni Moja ya kada Zenye mshahara mkubwa sawa tuu na watu wa Afya.

Tofauti ya walimu na kada zingine ni posho tuu ila salary ni kubwa kuliko Watumishi wengi wa Halmashauri na Wizara kwenye level Moja ya Elimu.
 
We fala nini,baba yangu ni Mwalimustaafu, naongea nachokifahamu.

Kwa taarifa Yako Walimu ni Moja ya kada Zenye mshahara mkubwa sawa tuu na watu wa Afya.

Tofauti ya walimu na kada zingine ni posho tuu ila salary ni kubwa kuliko Watumishi wengi wa Halmashauri na Wizara kwenye level Moja ya Elimu.
Kwahakika huyu mwalim katia aibu yan hata mwalimu wa field anao uwezo wakununua baiskel yake... Kitu cha laki moja kikushinde muajiliwa waserikal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipato Cha Mwalimu kinaruhusu kununua baiskeli Hadi pikipiki.

Huyo Mwalimu angeachwa atembee Kwa miguu hivyo hivyo,mimi.mtoto wangu hawezi kuja kuniomba pesa za Kuchezea eti mchango wa baiskeli ya Mwalimu.

Walimu kama huyo wanaiabisha Serikali na taaluma.
Usijeshangaa huyo mwalimu akawa ni wale wa kujitolea ambao hulipwa Kati ya 100,000/= Hadi 150,000/= kwa mwezi.
 
Usijeshangaa huyo mwalimu akawa ni wale wa kujitolea ambao hulipwa Kati ya 100,000/= Hadi 150,000/= kwa mwezi.
Wewe nimesoma hiyo taarifa kabla ya mleta mada na nilikuwa mbioni kuileta hapa.

Huyo hajitolei ni Mwalimu mwajiriwa na hata ajitokee Bado anaweza kununua baiskeli
 
Wamefanya jambo jema sana..Mungu awazidishie pale walipotoa.
Binadamu inatakiwa tuishi namna hii,ila sijui kwanini tunakengeuka!
 
Wewe nimesoma hiyo taarifa kabla ya mleta mada na nilikuwa mbioni kuileta hapa.

Huyo hajitolei ni Mwalimu mwajiriwa na hata ajitokee Bado anaweza kununua baiskeli
So whats your point.Wamempa zawadi so Zawadi no zawadi acha kuwa akili za chuki,wivu,kiburi,na roho mbaya.So unafikiri mshahara wake ni mkubwa sana.Mbona Viongozi wengine wananunulowa mavx na kodi za wananchi na hamusemi kwamba mishahara yao inatosha kununua magari?
Wacha makasiriko
 
So whats your point.Wamempa zawadi so Zawadi no zawadi acha kuwa akili za chuki,wivu,kiburi,na roho mbaya.So unafikiri mshahara wake ni mkubwa sana.Mbona Viongozi wengine wananunulowa mavx na kodi za wananchi na hamusemi kwamba mishahara yao inatosha kununua magari?
Wacha makasiriko
Chuki ya nini we mpumbavu, yaani Mimi niwe na chuki kisa mjinga mmja kupewa baiskeli?

Wajinga kama wewe ndio mtamuona hiyo Mwalimu mpumbavu ni WA maana.

Anajiaibisha Serikali, Mwalimu huyo alikuwa anatembea Kwa Mgumu km 5 kama sio upumbavu ni nini.
 
Upo sahihi mkuu ticha Katia aibu

Afu ni mkongwe kabisa kazini

Sema mkuu matatizo ya mtu huwezi yajua,mkuu usione watu wanapitapita mtaani ukazani wote wanafuraha

Kumbuka hii kada ndo inaongoza kwa mikopo kandamizi,

Kunawalimu wanadaiwa mzee ni huruma
 
Back
Top Bottom