Yule binti mwanafunzi aliyepotea!
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!
Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!
Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)
Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!
1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k
Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!
Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!
Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!
Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!
Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)
Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!
1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k
Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!
Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!
Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu