Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,641
- 46,291
Una akili
Mimi sio mwalimu lakin ningekuwa mwalimu zaidi ningependelea adhabu ya assignment kwa mtoto , mpe mtoto topic apresent hata wiki mbili mfululizo hii itamuweka bize na kumuongezea uelewa.Walimu achaneni na adhabu za hovyo