Ambazo waalimu hawavuti bangiShule ya maana ndo ipi ?
Mi ndomana mwanangu nilimtoa kayumba, kupigwa Sana kila akirudi tumepigwa nimeambiwa mpumbavu, manyanyaso, kisa elimu bure ya Nini.Tafuta pesa umpeleke mtoto shule ya maana, yenye waalimu wa maana
Hakuna elimu ya bure mkuu.Mi ndomana mwanangu nilimtoa kayumba, kupigwa Sana kila akirudi tumepigwa nimeambiwa mpumbavu, manyanyaso, kisa elimu bure ya Nini.
Kayumba wanalipa au shule za serikali au huko kwenu,Hakuna elimu ya bure mkuu.
Namaanisha ukiona wanasema elimu bure basi jua hapo hakuna elimu. Kayumba huko ukipeleka mtoto basi uwe umejitoa mhangaKayumba wanalipa au shule za serikali au huko kwenu,
Tawileee, yabure aghali.Namaanisha ukiona wanasema elimu bure basi jua hapo hakuna elimu. Kayumba huko ukipeleka mtoto basi uwe umejitoa mhanga
Bila shaka mlisema wasichwapwe wapewe adhabu.