Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?


huna hata aibu mwanaume mzima unatumia jasho la mwanamke,huna lolote wala hauna mapenzi ya kweli na huyo mama hapo ulipo unakimchepuko chako huko kinachokuliwaza,unasubiria mama wa watu afe ili wewe ndio urithi mali zake,na kwa taarifa yako tofauti ni kubwa sana kwa mwanamke wa 18 kuwa na babu wa 80 kuliko wewe mwanaume wa 34 kuwa na mama wa 50,sie wanawake tunahuruma na roho ya kusaidia na kumpenda mtu kiukweli ila nyie wanaume hamjaumbwa ivyo,ndio maana sie wanawake tukimfumania mume wetu tunasamehe ila nyie hamsamei,so wala usitudanganye hapa tuku support ujinga ni kweli umefata hela za huyo mama na mali zake,umefata mtelezoo
 



like, like. like, like, like,....umeongea point mkuu
 
Lady Jaydee hakukosea.
Kuna wanaume kama mabinti .
Kwa umri wako hupaswi uendelee kutetea huo ujinga.
Njaa itakufikisha usikotegemea
 
Unataka mtoto aende kwa baba ake! Wewe huna baba nawe ukaenda kwa baba ako?
 
Eti Mafia mimi Mafia ninaowajua kina Gambino, Al Capone, Luciano wote wana pesa na hawategemei umariyoo... Kwa ajili ya kuishi ungekuwa Mafia ungekuwa tayari una mijengo yako kadhaa plus businesses and cars kibao ungekuwa mafia usingetegemea msingi kiuno wewe sikuoni kama ni Mafia ila nakuona kama mganga NJAA ambaye umeona huyo Mama ndio pa kutokea
 

Leo umeniangusha, umekua mgumu sana kuelewa, yani umri wao, mapenzi yao, kama sheikh anahongwa, kama ni marioo hayo ni makubaliano yao hayahusu hata kidogo..... Tatizo ni huyu jamaa kuhamia pale home hebu assume ni wewe unaishi kwenu na mama halafu mama analeta kibuzi maringo humo ndani kiishi hivi utajisikiaje?
 
Last edited by a moderator:

Angekuwa kaoa labda kidogo ingeleta mantiki..ila uzini na mama yangu na tena kwenye nyumba yetu AF unataka heshima yangu,labda kama unipumbaze kwa miti shamba ulionayoo.
 
Binafsi nimegoma kukuelewa. Unatia aibu. Badala upambane kivyako, unataka umtenganganisha mama na mtoto wake? shindwa mbwelu wewe. Eti na mimi ni mafia mafi what? Mafia your ass.
 

Bila shaka huu ni utani wala humaanishi kwamba utaka kufunga ndoa na kikongwe. Lengo la mapenzi yenu ni yapi?
 
Ha ha ha ha eti mpate nafasi ya kupumua ndani, kapumulie kwenye frame yako huko
Kama huyu jamaa si mgonjwa wa akili basi hii ni chai...! Jamaa ana kera sana linasema wazi kabisa linahitaji nafasi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzie....! Huyu ni janga zaidi ya VVU
 
Kama huyu jamaa si mgonjwa wa akili basi hii ni chai...! Jamaa ana kera sana linasema wazi kabisa linahitaji nafasi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzie....! Huyu ni janga zaidi ya VVU

Ha ha ha ha yani nmecheka sana tena baada ya huu mrejesho wenye mkwara
 
Wewe Ni sheikh gani mpumbavu kiasi hivyo???????????? Unafaa kutafunwa kalio lako kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…