Si walisema 50/50..?Eeh sasa kama hamtaki kuhudumia si mtulie ? Mwanamke matunzo
Mbona lunch hata 10,000 inategemea na location6000 Lunch anakula Na Nini?😂😂
Natumia simu ndogo, mpaka ni-quote hivi ndio ntaweza kusoma.Nimefurahi sana kuona mwanachama mwenza wa UWABATA akipangua Ombi kutoka kwa Mrembo.
View attachment 2928523
UWABATA IDUMU!
Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA).
The same to meKatika vitu vinaniudhi ni mtu kuniomba hela anaanza kwa kutamka "hata"
Mfano
"Nitumie hata 3000 basi ya vocha"
Huwa nachukulia kama ameiona hiyo pesa ni ndogo. sasa kama ni ndogo mbona yeye hana pumbaf zake!
HahahaKatika vitu vinaniudhi ni mtu kuniomba hela anaanza kwa kutamka "hata"
Mfano
"Nitumie hata 3000 basi ya vocha"
Huwa nachukulia kama ameiona hiyo pesa ni ndogo. sasa kama ni ndogo mbona yeye hana pumbaf zake!
Unampea hela na Bado anaokotwa ka Ganda Kwenye dangulo na mwingine.mpatie binti pesa laa utaishia kuokoteza ganda lolote kwenye madanguro
wanajifanya kujitoa ufahamu.Si walisema 50/50..?