Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,020
- 10,188
Daah mbona na mie ni uhakika hapa itakuaje na wewe naona unajimwambafyUtaratibu wa Chadema ni wa kidemokrasia , sisi kwetu Kyela tupo Wagombea 15 , japo nafasi napewa mimi siwezi kukataza wagombea wengine , 2025 si karibu , naweza tu kulogwa na Wanaccm nikapotea , kwahiyo ni vema Jimbo moja likawa na wagombea wengi , ndio demokrasia ilivyo