MwanaCHADEMA mwenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo ni vyema akaachana na huo mpango. Tayari yana wenyewe

Utaratibu wa Chadema ni wa kidemokrasia , sisi kwetu Kyela tupo Wagombea 15 , japo nafasi napewa mimi siwezi kukataza wagombea wengine , 2025 si karibu , naweza tu kulogwa na Wanaccm nikapotea , kwahiyo ni vema Jimbo moja likawa na wagombea wengi , ndio demokrasia ilivyo
Daah mbona na mie ni uhakika hapa itakuaje na wewe naona unajimwambafy
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Ongezea basi na Mimi nipo pale Itilima
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Hawa ni wagombea wa kudumu
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Iramba yupo Kishoa,waende kwengine
 
Bila kupoteza muda ninawasihi wanachama wa CHADEMA wenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo kuachana na huo mpango kwasababu kuna vigogo washajipitisha kugombea. Kimsingi baadhi yao wameshatamka hadharani kuwa watagombea kupitia hayo majimbo bila kujali mchakato wa katiba ya chama chao kwenye kumpata mgombea. Wakiwa wazima 2025 wafuatao watakuwa wagombea ubunge kupitia CHADEMA kwenye majimbo yao;

1. John Mrema - SEGEREA
2. Boniface Jacob - UBUNGO
3. Freeman Mbowe au mwanae James Mbowe - HAI
4. Lucy Ndesamburo - MOSHI VIJIJINI
5. Henry Kilewo - MWANGA
6. John Pumbulu - NYAMAGANA
7. John Heche - TARIME VIJIJINI
8. Ezekia Wenje - RORYA
9. Patrick Sosopi - ISIMANI
10. Peter Msigwa - IRINGA MJINI
11. Godbless Lema - ARUSHA MJINI
12. Joseph Mbilinyi - MBEYA MJINI

Kama isingekuwa Covid19 kukwaruzana na chama chao hiyo list ingekuwa na majina mengi zaidi. Ninashauri wanaCHADEMA wenye kuutaka ubunge kutafuta hiyo fursa kupitia vyama vingine au kuomba nafasi ya kugombea kwenye majimbo mengine ambayo hayajatekwa na vigogo wasiopenda demokrasia. Waende Ruangwa, Iramba, Ilala, Kilwa, Tunduru.
Una maanisha wasiwepo wengine wanaoruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuwa mgombea?✍️
 
Hivi kule Moshi Vijijini kuna mbunge wa CCM kumbe. Mwaka jana nilitembelea sehemu wanapaita Mtakuja, ambapo nilipofika kwa wenyeji wangu nikasikia sijui kuna sehemu inajengwa hospital ya wilaya basi kuna fursa nyingi huko. Kama kijana mwenye njaa ya kudaka fursa inapotokea nikasema isiwe tabu niende huko kuona nini ntaambulia. Si nikawasha kasubaru kangu kwenda kuzurura. Asee ile barabara ya kwenda kule inajengwa hospital ya wilaya nilijisemea moyoni tu, hivi hii njia ndio itapitisha wagonjwa hii, maana hata ng'ombe tu hawastahili kupita njia ile, yaani yale sio mashimo ni mahandaki. Kilometer zaidi ya 12 ni balaa tupu. Nilijuta kupeleka kagari kangu kalikozoea njia za lami za mjini.

Kiukweli kwa hali ile niliyoiona kama mbunge ni wa CCM basi hastahili kuwa hata monitor wa darasa.
Acha dharau,mwanangu ni monita wa darasa la tatu ujue.
 
Kizazaa ninakiona pale Mbea mjini. Mbona kazi itakuepo?
Kumtoa mkuu wa mhimili au kama Tivuake anavosema muamala
Madam tutamkaribisha Kyela, Alipipi (au Ally kama anavyojitambulisha mwenyewe!!) anajitahidi, ila wenyeji hawamkubali bila ya sababu za msingi.
 
Kizazaa ninakiona pale Mbea mjini. Mbona kazi itakuepo?
Kumtoa mkuu wa mhimili au kama Tivuake anavosema muamala
Kihitifaki spika ni wangapi kutoka Kwa rais? Ukipata jibu utaona jinsi gani mchuano utakavyokua mkubwa.
 
Nipo mkuu. Mambo ya CHADEMA ungetuachia sisi. Kwa mfano Lema hagombei Arusha mjini anaenda machame. Arusha mjini tunaleta mgombea mwingine.
Hakuna jimbo la Machame. Kama ni jimbo la Hai tayari Mbowe kaonyesha nia ya kumrithisha mwanae James.
 
Back
Top Bottom