Mimi wa kwangu ,,,Ni kuwa simwamini mwanamke duniani na Sijawahi kumpenda kwa Dhati yaani hii hata Mama yangu huwa simwanini kabisa kwa hiyo na amini wanawake wote ni Nyang'au tu,,Jiulize kama mama yangu mzazi nilikuwa sipendi kwake pind nipo mdogo ,,Baada ya kukuwa ndo nikampunguzia mashart naenda kwake ILa siwezi maliza 2 days Huuu udhaifu mke wangu kaugundua nashukuru mungu na mimi nimeanza kuugundua so naamini ni wanawake tu ndo madaktari wangu