Kwenye Avatar anaitwa John Cena kwenye pambano la miereka anakuwa mpole tu akikutana na vichwa vibishi kama Undertaker, Sheamus, Brock lesnar etc
Japo kuwa kwa John cena ushindi daima, anapendwa na mashabiki wengi, nguvu nyingi anakubeba tu hata mzito km mark henry..u can't see me