Mwana JF share weakness yako

Namkubali sana huyo
 
My weakness: Nikiwa na mpenzi wangu muda mwingi huwa nautumia kwake.
 
jamani mi weakness yangu ni pesa nikiwa nazo bwana wewe akili ina weuka sana hasa pale napo kutana na rafiki yangu wa ukweli. na kengine nione demu white au black model mwenye tako anaejua kuvaa bwanaee basi
 
Weakness yangu ni kwamba huwa siwezi kuvumilia weaknesses za wengine.
 
Weakness yangu ni hii...

I love TOO MUCH..

I trust TOO MUCH...

I care TOO MUCH...

and

They hurt me TOO MUCH.
Sis tunaendana katika hilo, but is it a weakness or strength yetu? Me naona kama ni kitu kizuri vile. Yani na-value mahusiano mno, I will give my all kwa watu naowajali, unfortunately kuna wengine unavyozidi kuwatreat vizuri wanaanza kuku-take for granted. Yani mwingine jinsi unavyomtreat vizuri anaanza kuhisi labda huna watu wengine wakuwatreat hivyo, your life revolves around him/her, nawachekaga mwee.

Kuna muda nilimwomba Mungu nisiwe na huo moyo wa kujali sana wengine. But again nikasema why not giving my all kwa mtu nayemjali, kwa nini nibadilike niwe mtu mwingine? so I'm going to keep it real. Mtu akini-take for granted ni his/her loss, I don't lose people, people lose me. No regrets, no hard feelings, I enjoyed the moments tulivyokuwa wote, inatosha. Afu namshukuru Mungu, ukinizingua ntaku-ignore with the same intensity na niliyokuwa nakujali. Naingia miguu yote na nikitaka kutoka; natoka mazimaaa. Na wala kumchukia mtu siwezagi, I'll simply be like "Thank you for the party" na Ikitokea tumeonana, I will give you my genuine smile, unless wewe ndo uamue kuninunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…