Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Inasemekana picha zake zimepatikana na hazina uhalisia wa ID yake ya JF.
Kalala mbele.
Kalala mbele.
aisee
aisee
Utakuja nivunja mbavu Mimi ..Inasemekana picha zake zimepatikana na hazina uhalisia wa ID yake ya JF.
Kalala mbele.
Wala sijawahi kuwa mkorofi, nina marafiki kibao humu. Hadi wengine wameshajua na kwetu na wanakuja.Utakuja nivunja mbavu Mimi ..
Ila huwa nakuogopa maana Wewe Ni mkorofi Sana
Labda kwa I'd hii..Wala sijawahi kuwa mkorofi, nina marafiki kibao humu. Hadi wengine wameshajua na kwetu na wanakuja.
Shukurani.Nimejifunza mengi sana kupitia michango yako, maisha na mienendo yangu una mchango mkubwa sana.
Hasa katika upande wa imani.
Heshima yako.
Huyu jamaa respect sana kwenye maswala ya technology. Hakuna memba anamfikiaCHIEF MKWAWA
Labda kwa I'd hii..
Ila zile nyingine duh..zilikaa kikorofi sana
Bro 😅Sam Mangwana aliimba "kujulikana kuna mambo...".
Mimi sipendi kujulikana, ila kujulikana kunanipenda.
Naskia wamezika italiya janaHuyu siku hizi hata hayupo humu nasikia wamechomoa betri yake.
Naskia wamezika italiya jana
Kitengo cha comedyNadhani inategemea:-
Disclaimer, yeyote nitakayemtaja achukulie kwamba huo ni mtazamo wangu tu, na kama sijakutaja ujue nimekusahau tu bahati mbaya;
Special shout outs to Malcom Lumumba, The Bold, Chinchilah Coat, Sky Eclat na Rebeca 83.
- Lara 1; Huyu ni replaceable kwenye kitengo cha story na connections (baharia wanaelewa hapa kwenye connections)
- Kiranga; Huyu jamaa kasoma vitu vingi sana, na akili sana, hivyo kwa sababu pia JF vilaza ni wengi na hawasomi, automatically anakuwa distinguished.
- Mshana Jr; Huyu jamaa ni moja ya watu ambao ni mfano wa kuigwa linapokuja swala la specialization, jamaa ni specialist kwenye kitengo chake. Ingawa anakuwa anajaribu kuwa all round, ila sifa zangu nampa, he is so so good at his post.
- Mwita25; Huyu ni mtu pekee kwa JF alikuwa anakimbizana na Kiranga kwenye Lugha ya Malkia, alikopotelea sijui.
- Eiyer; Hii ilikuwa ni asset linapokuja swala la Secret Societies, nimesoma series za Dan Brown, ila kila nikimsoma Eiyer, sielewi haya mambo ametumia muda gani kuyajua, na anawafunika waandishi kibao ambao ni best sellers.
- Chief-Mkwawa; He is undisputed when it comes to IT related issues.
- Mzee Mwanakijiji before October 2015; Hakuna bandiko lake ambalo utasema liko shallow kwa kipindi hicho, na nilikuwa na muda special wa kupitia maandishi ya jamaa.
- Mosdef; When it comes to football analysis, this kid is way far, I can't real tell who is the best between him and Gary Nevil.
Hivi watu maarufu upande wa comedy haukosekani mkuu 😅😅😅Wanasafirisha kwenda boma
Wanaweza kuwapa tuzo Moderators maana wana comedy sana.Hivi watu maarufu upande wa comedy haukosekani mkuu
Mi nipo na dula hapa
Mkuu unajulikana had mitaanSam Mangwana aliimba "kujulikana kuna mambo...".
Mimi sipendi kujulikana, ila kujulikana kunanipenda.