Mwana JF maarufu ni yupi?

Ukweli ni nini na unaujuaje huu ukweli na huu si ukweli?
Maana ya neno ukweli ni pana kulingana na uelewa wa mtu... Naeza nikakueleza kulingana na uelewa wangu lakini ikawa sio kweli kulingana na uelewa wako japokuwa haitonibadilisha mimi kwamba ndio ukweli
N.b kutokukubali juu ya jambo sio ukweli haitobadilisha ukweli wa jambo kama ni la kweli..
>Kwa hiyo ukweli ni imani au statement inayo correspond na object baada ya mtiririko wa fact unaoelezea uhusiano kati ya hiyo object na reality. ...
 
Maana ya neno ukweli ni pana kulingana na uelewa wa mtu... Naeza nikakueleza kulingana na uelewa wangu lakini ikawa sio kweli kulingana na uelewa wako japokuwa haitonibadilisha mimi kwamba ndio ukweli
N.b kutokukubali juu ya jambo sio ukweli haitobadilisha ukweli wa jambo kama ni la kweli..
>Kwa hiyo ukweli ni imani au statement inayo correspond na object baada ya mtiririko wa fact unaoelezea uhusiano kati ya hiyo object na reality. ...

Sijauliza ujweli kwa uelewa wako ni nini. Nimeuliza ukweli objectively ni nini?

Ukweli si imani wala statement.

Jua likiwa linawaka, hata kama hakuna mtu yeyote mwenye imani au statement kwamba jua linawaka, bado ukweli utakuwa jua linawaka.

Ukweli hautegemei observer, statement, imani etc. Ulivyoandika ni kama ukweli unawekwa na statement au imani, bila statement au imani hakuna ukweli.
 
Unachakachua thread mheshimiwa Kiranga kwa ujuaji wako wa vitu usivyoviamini. Nenda jukwaa la dini au kafukuwe thread zako upambane na size yako mshana jr
Sijauliza ujweli kwa uelewa wako ni nini. Nimeuliza ukweli objectively ni nini?

Ukweli si imani wala statement.

Jua likiwa linawaka, hata kama hakuna mtu yeyote mwenye imani au statement kwamba jua linawaka, bado ukweli utakuwa jua linawaka.

Ukweli hautegemei observer, statement, imani etc. Ulivyoandika ni kama ukweli unawekwa na statement au imani, bila statement au imani hakuna ukweli.
 
Unachakachua thread mheshimiwa Kiranga kwa ujuaji wako wa vitu usivyoviamini. Nenda jukwaa la dini au kafukuwe thread zako upambane na size yako mshana jr
Sikujua thread hii ipo, nimeitwa kwa tag maalum.

Na hapa ni JF, Where We Dare To Talk Openly.

Kwa hiyo kama hupendi maandishi yangu, kwanza waambie JF watoe hiyo kaulimbiu, halafu mtafute aliyenitag umwambie aondoe tag.

Kama unaona shida kufanya hivyo niweke ignore list, hutaona chochote ninachoandika.

We can chew gum and walk.

This is not a mutual exclusivity issue.
 
Sijauliza ujweli kwa uelewa wako ni nini. Nimeuliza ukweli objectively ni nini?

Ukweli si imani wala statement.

Jua likiwa linawaka, hata kama hakuna mtu yeyote mwenye imani au statement kwamba jua linawaka, bado ukweli utakuwa jua linawaka.

Ukweli hautegemei observer, statement, imani etc. Ulivyoandika ni kama ukweli unawekwa na statement au imani, bila statement au imani hakuna ukweli.
Kueleza maana ya ukweli objectively hiyo ni fallacious sababu paka sasa ukweli haujajulikana kama ni objective au subjective.. Bali tuna uperceive according kwa uwezo wetu tunavyouelewa ..
Ukweli unaendana na jinsi mtu anavyo amini kwa sababu ni mtazamo unategemea observer... . Mfano mtu anaweza akanywa bia kwa upande wake yeye akasikia ni tamu ukaja ukanywa wewe usipende flavor kutokupenda flavor haitobadilisha ukweli kwa yule mtu wa kwanza kwamba ni tamu hivyo ukweli unategemea na observe...
..
Ukizungumzia jua tunazungumzia uhalisia kwamba ukisema jua linawaka huo ni uhalisia ata mtu asipo amini haitobadilisha uhalisia lakini kuhusu ukweli ni imani jinsi mtu atakavyo perceive kulingana na fact...
 
Kueleza maana ya ukweli objectively hiyo ni fallacious sababu paka sasa ukweli haujajulikana kama ni objective au subjective.. Bali tuna uperceive according kwa uwezo wetu tunavyouelewa ..
Ukweli unaendana na jinsi mtu anavyo amini kwa sababu ni mtazamo unategemea observer... . Mfano mtu anaweza akanywa bia kwa upande wake yeye akasikia ni tamu ukaja ukanywa wewe usipende flavor kutokupenda flavor haitobadilisha ukweli kwa yule mtu wa kwanza kwamba ni tamu hivyo ukweli unategemea na observe...
..
Ukizungumzia jua tunazungumzia uhalisia kwamba ukisema jua linawaka huo ni uhalisia ata mtu asipo amini haitobadilisha uhalisia lakini kuhusu ukweli ni imani jinsi mtu atakavyo perceive kulingana na fact...
Kama huwezi kuu define ukweli, huwezi kuuzungumzia ukweli.

Ukisema "kuueleza ukweli objectively hiyo ni fallacious" hiyo statement yenyewe inajiwekea shaka, kwa sababu inakuwa nayo ipo chini ya "objectivity fallacy" uliyoisema.

Ni kama mtu anayekwambia "kila ninachokuambia ni uongo".

Sasa hapo, umuamini kwamba kila anachosema ni uongo? Lakini kama kweli kila anachosema ni uongo, hata hiyo sentensi ya "kila ninachokuambia ni uongo" nayo si itakuwa ya uongo?
 
uganga, ulozi= mshana jr,likud,rakims
migegedo= zero iq,demiss
upagani= kiranga
umbeya= warumi, hance mtanashati
thread ndefu= kasie"matata"
grammarian= faiza foxy
intelijence = bold
ongezeeni na nyie
 
Back
Top Bottom