Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Mwana Jamii Forum mwenzetu anayejulikana kwa jina la Azikiwe, jana asubuhi alinusurika kifo baada ya kukumbwa na ajali mbaya.
Alikuwa akiendesha pikipiki ndipo alipogongwa na gari na kumsababishia majeraha makubwa mwilini mwake.
Azikiwe alipata ajali jana asubuhi alipokuwa akiendesha pikipiki yake kwenda kazini akitokea nyumbani kwake maeneo ya Ukonga.
Azikiwe amevunjika mguu na mkono na amelazwa kitengo cha mifupa MOI.
Tumuombee ili aweze kupona mapema.
Alikuwa akiendesha pikipiki ndipo alipogongwa na gari na kumsababishia majeraha makubwa mwilini mwake.
Azikiwe alipata ajali jana asubuhi alipokuwa akiendesha pikipiki yake kwenda kazini akitokea nyumbani kwake maeneo ya Ukonga.
Azikiwe amevunjika mguu na mkono na amelazwa kitengo cha mifupa MOI.
Tumuombee ili aweze kupona mapema.