seriously jamaa anachemka...ila kuna watu wanampampu tu sio yeye ni njaa zake nahisi!!!I dont care abt anything ila kweli hat mm nashangaa MWANA FA kweli wa kumfanyia jide ivi??,jide alishirikian na fa kwenye ngoma nyingi kama alikufa kwa ngoma na watajuaje pamoj na msiache kuongea nyimbo ambazo jide ndo kazifanya ziwe hot cake,yaan fa unashindan na mwanamke????,dah unajishusha sana
Hivi katika hali ya kawaida
kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini kwa dada yetu Jide? Jide mara
ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe
hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!!
Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga
tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana
matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya
sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!!
Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946
Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?
MwanaFAtuma na ruge kazini.
Hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini kwa dada yetu Jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
View attachment 96946
Kuna mdau anasema wanaitwa MwanaHamisi na Ru-Gay.
point ni kwamba kwasababu wote wawili wameshashirikiana kwenye track kadhaa,kuachiana gap ingekuwa na maana kila mmoja kushiriki katika show ya mwenzake ,ili mashabiki wafeel uhalisia wa burudani katika track walizofanya pamoja.Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifuKwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?
Kwa iyo siku iyo mnataka dar nzima ijae kwa jide?