georgeallen JF-Expert Member Jun 3, 2011 4,118 1,870 Dec 1, 2013 #2 donlucchese said: View attachment 124191 Click to expand... Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe
donlucchese said: View attachment 124191 Click to expand... Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe
Deo Corleone JF-Expert Member Jun 29, 2011 16,927 13,011 Dec 1, 2013 #3 Dah! my cousin himself. UNENE WANGU ACHANA NAO,JALI BIASHARA ZAKO,NYAMA CHOMA GANJA SIO KILA KITU NIJUACHO.AM THE NAME OF THE GAME,MTU NA HESHIMA ZAKE,MARA MOJA MOJA SUTI.UKINIONA UNIKUMBUKE!
Dah! my cousin himself. UNENE WANGU ACHANA NAO,JALI BIASHARA ZAKO,NYAMA CHOMA GANJA SIO KILA KITU NIJUACHO.AM THE NAME OF THE GAME,MTU NA HESHIMA ZAKE,MARA MOJA MOJA SUTI.UKINIONA UNIKUMBUKE!
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,088 54,369 Dec 1, 2013 #4 georgeallen said: Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe Click to expand... Mkuu si wanasema.FA. anasumbuliwa na ule ugonjwa wa sickle cell nadhani huo mwonekano wa zamani huenda alikuwa akisumbuliwa nao sana.
georgeallen said: Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe Click to expand... Mkuu si wanasema.FA. anasumbuliwa na ule ugonjwa wa sickle cell nadhani huo mwonekano wa zamani huenda alikuwa akisumbuliwa nao sana.
master09 JF-Expert Member Aug 12, 2013 808 559 Dec 1, 2013 #5 Kama anao huo ugonjwa wa sickle cell basi akipita miaka 18 hawi tena kwenye risk.......
donlucchese JF-Expert Member Mar 23, 2011 17,048 21,524 Dec 1, 2013 Thread starter #6 georgeallen said: Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe Click to expand... hahah, huyu hapa mkuu
georgeallen said: Kha, dogo alikuwa ..mbamba anatisha! Chini katinga ndala, mkono mwembamba as if .......Katoka mbali . weka na picha ya sasa tulinganishe Click to expand... hahah, huyu hapa mkuu
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Dec 1, 2013 #7 Jamani Mwana FA namfahamu toka akiwa mtoto yeye AY Mnyalu na GK pale Meku Upanga. Ila kwa kweli GK game haliwezi kabisaaaa.
Jamani Mwana FA namfahamu toka akiwa mtoto yeye AY Mnyalu na GK pale Meku Upanga. Ila kwa kweli GK game haliwezi kabisaaaa.
Tyta JF-Expert Member May 21, 2011 12,767 10,526 Dec 1, 2013 #8 donlucchese said: View attachment 124191 Click to expand...
georgeallen JF-Expert Member Jun 3, 2011 4,118 1,870 Dec 1, 2013 #9 Kennedy said: Mkuu si wanasema.FA. anasumbuliwa na ule ugonjwa wa sickle cell nadhani huo mwonekano wa zamani huenda alikuwa akisumbuliwa nao sana. Click to expand... Hapo nimeelewa . Asante kwa kutujulisha.
Kennedy said: Mkuu si wanasema.FA. anasumbuliwa na ule ugonjwa wa sickle cell nadhani huo mwonekano wa zamani huenda alikuwa akisumbuliwa nao sana. Click to expand... Hapo nimeelewa . Asante kwa kutujulisha.