Mwana Dar es salaam ndani ya Mtwara

Mwana Dar es salaam ndani ya Mtwara

Haitatokea hata siku moja wewe # laki si pesa uone jambo la Alli Kiba ulifurahie..muulize mwenzio # Matumbo alikuwepo..naona bado mna machungu ya Fiesta Dar.
 
Mbona mie nawapenda wote kiba na domo? Hivi ukiwa unapenda mziki na sio mahaba nichinje, unaweza kumchukia mmoja ukampenda mwingine?
mashabiki wa dimaond yaani hapa zile za harufu chafu zinawagonga pichu.
 
Mbona mie nawapenda wote kiba na domo? Hivi ukiwa unapenda mziki na sio mahaba nichinje, unaweza kumchukia mmoja ukampenda mwingine?

Hapa nimecoment tu kuchokoza,sema kweli mi hao wote nawakubali kwenye mziki sinaga team,wote sawa kwangu
 
Nimekuweka pending. Siku paw akinipiga chini i will be your cougar. Thawa eeh?

Huwa nashangaa sana sijui timu wema, timu kiba? Kila mtu anafanya yake. Relax and enjoy.
Hapa nimecoment tu kuchokoza,sema kweli mi hao wote nawakubali kwenye mziki sinaga team,wote sawa kwangu
 
show mbovu sijawahi kuona...inaimba cd .
bongo mazingira ya kuimba live magumu sana,mpaka utoke mishipa shingoni,wenzetu teknolojia inawasaidia,drums zikipigwa na magitaa rahisi kunata na mziki,halafu wanajua kutumia mic,bongo msanii akishika mic mpaka jasho anaipigia kelele akidhani hawamsikii,wakati ni ishu tu ya kuimba kawaida
 
Burudani inanza sasa Mfalme yuko jukwaani na Kibela.'dunia sio mbaya walimwengu ndio wabaya...
Show inaanza saa nane, alikua anasubiri kujazilizilia watu.?
 
Haitatokea hata siku moja wewe # laki si pesa uone jambo la Alli Kiba ulifurahie..muulize mwenzio # Matumbo alikuwepo..naona bado mna machungu ya Fiesta Dar.

hata kwetu wapo hao!
 
daah enzi zangu mda huu ndo tunaoga kudadadeki
makonde club ndo bado haijajengwa bado iko ya makuti
watu weweeeeeeeeeee
aisee ndo bass tena uzee huu
all the best wanaaaa
tukitoka hapo tulikua tunaenda maisha kumalizia upopoooooo

Uko ulikiwa ukifanza nn?
 
Nimekuweka pending. Siku paw akinipiga chini i will be your cougar. Thawa eeh?

Huwa nashangaa sana sijui timu wema, timu kiba? Kila mtu anafanya yake. Relax and enjoy.
naona naanza weekend vizuri,akikuzingua i'm just here for you!

mi huwa ushabiki wangu upo kwenye nyimbo,wimbo ule unaogusa my feelings ndo nakuwa naurudia,kwanza hawa wasanii hawako perfect,unaweza kuwa na album but wimbo mzuri mmoja,au unapenda wimbo ambao haujasikika hewani,hata bongo movie naona team ni utoto tu,sioni faida za teams,may be kama wahusika wamezitengeneza kupata soko
 
Bwana kiba leo anapiga show ndani ya Masasi ndani ya Kibo
 
Back
Top Bottom