Mwana Dar es salaam ndani ya Mtwara

Mwana Dar es salaam ndani ya Mtwara

Mhhh watu kibaoo hapa aisee 'pamenoga' bado show haijaanza
 
Nipo hapa makonde ila naona bado hapaja changamka labda nivumilie kama lisaa tena labda nitajua Leo kuna msanii kaja maana kwa sisi wapenda club tunajua cku zote makonde inavo kuwa lakin wale walio kuja kumuona kiba tu waludi makwao huko kama vile wale wa mikindan, mnaz 1, msijute, mdenga,magomen naliendele ndo wanahisi eti pamefurika kiukweli bado pako kama club ya kawaida tofauti ni kwamba kuna raia wapya sana hapa hawajawai kuijua makonde
 
Nipo hapa makonde ila naona bado hapaja changamka labda nivumilie kama lisaa tena labda nitajua Leo kuna msanii kaja maana kwa sisi wapenda club tunajua cku zote makonde inavo kuwa lakin wale walio kuja kumuona kiba tu waludi makwao huko kama vile wale wa mikindan, mnaz 1, msijute, mdenga,magomen naliendele ndo wanahisi eti pamefurika kiukweli bado pako kama club ya kawaida tofauti ni kwamba kuna raia wapya sana hapa hawajawai kuijua makonde

bora we umenena...yani siinjoi ata kdg nilitaka kwenda maisha naambiwa hakuna raia
 
Ndio naingia lakini sioni hao watu wengi...alafu watu hawanukii cjui wana matatizo gani

Naomba uhakikishe piga picha basii ututumiee tuone kuna watu watabishaaaaa
 
Burudani inanza sasa Mfalme yuko jukwaani na Kibela.'dunia sio mbaya walimwengu ndio wabaya...
 
Huyu jamaa yaani yuko kawaida sana hana makuu..kavaa kawaida tu
 
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.



Ali Kiba siyo mwana Dar Es Salaam, yule ni Muha wa Ujiji (Kigoma) na limbukeni by nature na Waha wote toka Kigoma ndivyo walivyo.
 
Back
Top Bottom