ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,872
Ule ukumbi mmiliki wake amewauzia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania..ndio kwa sasa wanatumia kama kituo chao kwa Mtwara.
Nashukuru mkuu BRN ,wengine ndio ulikuwa ukumbi wetu mkuu.
Ule ukumbi mmiliki wake amewauzia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania..ndio kwa sasa wanatumia kama kituo chao kwa Mtwara.
Dinazarde jamaa kanichekesha sana aisee nilitaka niende kwenye hii show lakini nimekata tamaa toka nipate usumbufu kwenye show hile ya Diamond hapo Makonde beach sina hamu nilikerwa sana.
Wasanii wetu wana mtindo wa kuchelewa kuanza kuimba yani nilikereka nusu niondoke lakini nikawa naione huruma hela yangu niliyo lipa kwakweli Diamond alijaza kishenzi yani sijapata kuona lakini kwa nilivyo ona wana Mtwara wana mpenda Kiba pia pengine nae anaweza vunja record ya pale!
Poa poa mkuu, mimi nilipita huko longtime kwenye kutafuta maisha.
Mi yako nafua kabisa huku nainusa
Tukitoka hapo tunaenda litingi hahahahadaah enzi zangu mda huu ndo tunaoga kudadadeki
makonde club ndo bado haijajengwa bado iko ya makuti
watu weweeeeeeeeeee
aisee ndo bass tena uzee huu
all the best wanaaaa
tukitoka hapo tulikua tunaenda maisha kumalizia upopoooooo
hii comment itanihukumu humu humu punde,halafu leo ijumaa,we haya tuUtapiga chafya ooohoooo unilaumu bure
Hivi mkubwa ule ukumbi wao wa Blantyre bado upo pale maeneo ya mnarani.
hii comment itanihukumu humu humu punde,halafu leo ijumaa,we haya tu
Yakwisheeee
Uliyapata hayo maishaa????
Nashukuru nilicho nacho kwa sasa kuliko wakati ule ila bado naendelea kuvijaza ndio maana leo nipo huku kwenu usukumani ngudu.
Mwaaah hapo Jamaican penye stimu
Hhaaaaaaaa hayaa na ubarikiwe zaidiiii
Enzi zake ilikuwa ni balaa kuleHaahaaa Mkuu Litingi yamebaki magofu tu haina kitu tena.
Jamaican wapi
Penye stimu
Wewe mchokoziNenda tu mkuu ukajazejazee tusijeaibika halaf hasira tuzimaliziee jf si unajua timu...... walivyo na hasiraaa
Stimu zishalipiwaaaa