Mwamvita Makamba apandishwa cheo

Status
Not open for further replies.
Nilikuwa namweshimu sana huyu dada! But kwa haya yaliyozungumzwa hapa mmmmh!
 
Acheni kuonglea watu jamvini. Tabia mbaya hii. Pelekeni ujinga huu kwenye globs. Angekuwa kwenye politics may be ingekuwa valid kumwongelea lakini personal stuff, Naaaah..Stop discussing gossips! Remember JF is the home of great thinkers, unless JF has become the home of great yappers!

Tunaongelea kwasababu watu wa aina yake wanamiliki nafasi ambazo, kwa vyovyote vile sisi watoto wa makabwela wenye sifa hatuwezi kuzipata.

Mshauri huyu mdada aache kujiweka au kujipretend yeye ni levo ya Mke wa Obama.
 
duh Twisa tena? tatizo nasikia MD anakula pale so mapenzi ya kazini mwishowe ndo huo md anakosa say demu anafanya analotaka. lkn kila kitu kina mwisho MD kimkataba kikiisha si atakuja mwingine, unamkumbuka yule mbabe aliyepelekwa Mozambique kwa kutomnyenyekea rostam? jamaa alikuja akafuta tuvyeo vyeo tote twa kutunga halafu akamwambia rosta we are doing business and not mere cheap politics fisadi mbio kwa jk eti simtaki huyu jamaa huwezi amini yule MD alipewa 24hrs aondoke bongo so what goes around always comes around!
Ni kweli mkuu Chimunguru kwamba MD yule Jose Dos Santos aliondoka kwa kuhitilafiana na Rostam lakini tukio hasa lililofanya apewe 24hrs japo iliongezwa na kuwa 48hrs ni kitendo cha MD kumtukana aliyekuwa mwanasheria wa Vodacom enzi hizo Mh.William Mganga Ngeleja mbele ya Rostam baada ya Ngeleja kuchelewa kuingia kwenye Kikao cha Management na Local Shareholders (Rostam na Noni).Sababu ya Ngeleja kuchelewa kwenye kikao ni kwasababu alikuwa anapiga stori na Rostam ofisini kwa mwanasheria huyo ambayo ilikuwa pua na mdomo na Board Room enzi hizo ghorofa ya 14 pale PPF Tower. Kuhusu huyo Mwamvita pamoja na mambo mengine ni aggressive na pia kizungu chake kimenyoka na hiyo ni moja kati ya silaha kubwa ya kupanda vyeo haraka katika kampuni hizi multinationals.Sasa kama kuna issue ya uroda basi hiyo itakuwa ndiyo ile tunaita added advantage.
 
Ni kibabu ila si abuser. Kosa lake kafulia baada ya kuacha kazi SGS. Mwamvita kapata tajiri zaidi. Kibabu cha watu kimechanganyikiwa.
Huyu mzee wa kizungu nadhani Quintine Gray kama sijakosea spelling zake. Niliwahi kufanya naye kazi. Well the guy was good na alikuwa hataki longolongo kazini lakini alikuwa ni very opportunistic na alimtumia vyema Mwamvita kufanikisha malengo yake hapa nchini. Baadae nadhani na yeye akawa fisadi naona huko Australia wakaamua basi sasa.
 
Ni kweli mkuu Chimunguru kwamba MD yule Jose Dos Santos aliondoka kwa kuhitilafiana na Rostam lakini tukio hasa lililofanya apewe 24hrs japo iliongezwa na kuwa 48hrs ni kitendo cha MD kumtukana aliyekuwa mwanasheria wa Vodacom enzi hizo Mh.William Mganga Ngeleja mbele ya Rostam baada ya Ngeleja kuchelewa kuingia kwenye Kikao cha Management na Local Shareholders (Rostam na Noni).Sababu ya Ngeleja kuchelewa kwenye kikao ni kwasababu alikuwa anapiga stori na Rostam ofisini kwa mwanasheria huyo ambayo ilikuwa pua na mdomo na Board Room enzi hizo ghorofa ya 14 pale PPF Tower. Kuhusu huyo Mwamvita pamoja na mambo mengine ni aggressive na pia kizungu chake kimenyoka na hiyo ni moja kati ya silaha kubwa ya kupanda vyeo haraka katika kampuni hizi multinationals.Sasa kama kuna issue ya uroda basi hiyo itakuwa ndiyo ile tunaita added advantage.

Mkuu hapo kwenye RED,

kumbe kujuana kumeanza siku nyingi?? Ndo maana mambo ya Dowans ......dah! mtu mzima unaweza ku-connect dot
 
Ni kweli mkuu Chimunguru kwamba MD yule Jose Dos Santos aliondoka kwa kuhitilafiana na Rostam lakini tukio hasa lililofanya apewe 24hrs japo iliongezwa na kuwa 48hrs ni kitendo cha MD kumtukana aliyekuwa mwanasheria wa Vodacom enzi hizo Mh.William Mganga Ngeleja mbele ya Rostam baada ya Ngeleja kuchelewa kuingia kwenye Kikao cha Management na Local Shareholders (Rostam na Noni).Sababu ya Ngeleja kuchelewa kwenye kikao ni kwasababu alikuwa anapiga stori na Rostam ofisini kwa mwanasheria huyo ambayo ilikuwa pua na mdomo na Board Room enzi hizo ghorofa ya 14 pale PPF Tower. Kuhusu huyo Mwamvita pamoja na mambo mengine ni aggressive na pia kizungu chake kimenyoka na hiyo ni moja kati ya silaha kubwa ya kupanda vyeo haraka katika kampuni hizi multinationals.Sasa kama kuna issue ya uroda basi hiyo itakuwa ndiyo ile tunaita added advantage.

hiyo ndiyo corporate Tanzania?
 
Mkuu hapo kwenye RED,

kumbe kujuana kumeanza siku nyingi?? Ndo maana mambo ya Dowans ......dah! mtu mzima unaweza ku-connect dot

Kwa kuongezea tu ni kwamba William Ngeleja asingeweza kumshinda William Shija kule Sengerema bila nguvu kubwa ya pesa ya Rostam. Kwa taarifa yako ni Rostam aliyemwambia Ngeleja akagombee Ubunge wala kwa utashi wake Mh.Ngeleja asingeweza kufanya hivyo.

Kingine ni kwamba Mh.Ngeleja ndiye aliyekuwa analinda interests za Rostam kwa kutoa info mbali mbali za namna mambo yalivyokuwa yanaendeshwa katika kampuni.Ikumbukwe kwamba ripoti zinazopelekwa kwenye board wakati mwingine zinakuwa filtered hivyo kama huna mtu ndani ya kampuni kuangalia interest zako unaweza kuwa unapigwa changa la macho.

Kuna uwezekano mkubwa pia ikawa Mwamvita ndiye anayeangalia interest za Rostam pale you never know pengine ndiyo maana anapandishwa vyeo. Pamoja na position aliyonayo ya Chief Officer Marketing and Corporate Affairs bado si director katika bodi ya wakurugenzi ya Vodacom
 
What do you mean?The list of successful married women is endless.. Hilary Clinton, The Queen Elizabeth, Margaret Thatcher, the late Mrs Ghandi, Prof Marjorie Mbilinyi, Dr. Asha Rose Migilo, mh Mukangara.....
dont 4get meeeee
 
Me naamini yuko bright sana kitendo cha kutumia kitega uchumi chake vizuri na kumfikisha hapo alipo sio mchezo ni akili tosha.
 
Vodacom Tz has appointed MS Mwamvita makamba as company chief officer:markrting & corparate affairs
(michuzi blog)
 
sasa akishapandishwa cheo unataka sisi tufanye nini? Hayo ni mambo yake na familia yake! Naona haina maana hapa!
 
sasa akishapandishwa cheo unataka sisi tufanye nini? Hayo ni mambo yake na familia yake! Naona haina maana hapa!
That was FYI................ Wengine tulikuwa hatulifahamu hilo......Hivyo vidili vyetu na yeye sasa tunavihamishia huko............ Thank you TZ1..ila hiyo bendera ungeweka ya Taifa kama lilivyo jina lako...........
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom