Mkuu angalia hiyo bendera vizuri kuna kitu kimejifichaThat was FYI................ Wengine tulikuwa hatulifahamu hilo......Hivyo vidili vyetu na yeye sasa tunavihamishia huko............ Thank you TZ1..ila hiyo bendera ungeweka ya Taifa kama lilivyo jina lako...........
Hongera zake ila HAITUHUSU.
Mkuu angalia hiyo bendera vizuri kuna kitu kimejificha
nadhani mtoa uzi ana jambo anat aka kutuambia na likely mwenye mali anataka kuondoka nchini na kukasimisha madaraka yake kwa mwanamke asije kuwa ni bimt magamba teh teh teh....sasa akishapandishwa cheo unataka sisi tufanye nini? Hayo ni mambo yake na familia yake! Naona haina maana hapa!
sasa akishapandishwa cheo unataka sisi tufanye nini? Hayo ni mambo yake na familia yake! Naona haina maana hapa!
Wivu wa kike huo[/QUOteg]inakuhusu eeh?