Tupa Kule13
New Member
- Jun 9, 2011
- 4
- 0
Eti Huyu mdada msupa Mwamvita Mwamkamba kapewa u bosi at Vodacom Tanzania? nimeskia hizi tetesi juzi kati...nani anazo detials za uhakika?????
chief officer and corporate affairs and trustee of vodacom foundation
sasa naanza kuamini ule msemo..'a successful woman is either single,divorced or widow'
Tuweke wazi mkuu inamaana cheo cha mafuru kimeenda msambaa? Na mafuru sasa hivi hupo wapi? Cv ya huyu dada ipoje?Kumbukeni vodacom ni kampuni kubwa hivyo kimanti yatupasa kujua baadhi ya mambo tukiwa kama wateja wake na wadau muhimu!!huyu mwamvita ndiye amesababisha mafuru kuacha kazi vodacom kutokana na yeye kupewa upendeleo maalum kwa vile ni mtoto wa yule mzee makamba na uswahiba wake na mmoja wa mapacha 3 yaani rostam...kazi yenyewe hajasomea hakuna anachofanya, kikubwa ni kuuza sura ambayo kiukweli hana sura nzuri....pole sana mafuru ila na wewe ulipokuwa vodacom ulijisahau bwana...mkiwa kwenye nafasi hizi msijisahau sana manake mkitimuliwa mnakuja umbuka sana...ona chacha wapi mafuru??
kaolewa , mume wake mzungu kibabu
Acheni kuonglea watu jamvini. Tabia mbaya hii. Pelekeni ujinga huu kwenye globs. Angekuwa kwenye politics may be ingekuwa valid kumwongelea lakini personal stuff, Naaaah..Stop discussing gossips! Remember JF is the home of great thinkers, unless JF has become the home of great yappers!
mkuu Mwamvita ni celebrity kibongo bongo. anaonekana kwenye TV, kuna baadhi wanamkubali. kwa kiasi kikubwa anajulikana. Hivyo watu kum-discuss ni sehemu ya gharama yake ya ucelebrity wake.. Wako wengi wanatamani kusikia ametokea wapi, alianza vipi na yukoje kimaisha..kwa hiyo hili jukwaa ni sahihi kabisa watu kuuliza habari zake..
au hujui nini maana ya celebrity?
Mimi Kaka Mpendwa, hakuna anayenijua, kwa hiyo hakuna atakayependa kufuatilia mambo yako..sina mvuto kwenye jamii...
Nilikuwa tu nakupa upande wa pili ndugu Great Thinker
Hii sio sehemu ya wanasiasa tu
Huyu dada ameolewa?
Kama ameolewa,anafurahia ndoa yake kweli?
Mbona kila siku yuko viwanja alone?
kaolewa , mume wake mzungu kibabu