Jamaa sijui kala maharage ya wapiKuna majitu Kama kichwani yamefungasha mafurushi ya mavi na sio akili.
Huku Kinondon juzi umeme umekatika kuanzia asubuhi Hadi saa moja usiku.
Halafu linatokea Jitu linaishi kwa shemeji Yake linashupaza shingo eti Hakuna tatizo kwasababu liko Dar.
Pumbav kabisa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ukiwa mfanyabiashara au na Nyumba kuwa na standby Generator ni kawaida sana!!...Matatizo ya umeme tulianza kuyasahau! Automatically watu wameanza kununua generators kujihami shughuli zao! Sometimes naelewa kwanini JPM kuna watu aliwashughulikia bila huruma.
Ndio hivyo sasa kuwa mpole jiandae kununua generatorBora mama mara milioni kuliko yule shetani wenu
Jinga wewe huna unalojua.Nina ofisi Mtaa wa Congo Ndugu na nyingine samora Rafiki yangu huko kote sijawahi kuona shida hii!!..Wewe Endelea kuongopa Tu
Umeme umekatika toka asubuhi hadi mda huu, zaidi ya masaa sita hakuna umeme...na ni maeneo mengi hapa mjini. Acha upumbavu!Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
Nipo Bonyokwa kuna umeme muda huuHuku kimara washakata toka asubuhi
Sijui nyie na mikoa yenu,mkoani kwetu umeme ukikatika Sana basi ni masaa sita napo mara moja au mbili kwa wiki kwa ajili ya matengenezo.Ndio inamaana naongea uwongo?
Mgao umerudi tena? Maana si kwa kukatika huku kwa umeme. Kuna shida gani?Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.
Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.
Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule
Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Mpigie simu au muandikie baruaHuku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.
Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.
Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule
Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Acha tuuze majenereta mkuuHuku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.
Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.
Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule
Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Mleta mada na wewe ni wale wale.CCM ni ile ile..
1. Unapotoa mfano uwe halisi, 2015 umeme ulikuwa imara chini ya mwamba Muhongo.Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.
Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.
Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule
Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Acheni unaa mazeeAsante sana chief, tukutane hapo Sea Cliff tupate cha mchana mkuu wakati tunajadili hali ya shirika letu pendwa!
Tulibaniwa sana na msukuma yule, wacha tuangalie namna ya kutengeneza mazingira ya hela kidogo kwa miaka michache ya mama yetu kipenzi!