Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Kuna majitu Kama kichwani yamefungasha mafurushi ya mavi na sio akili.


Huku Kinondon juzi umeme umekatika kuanzia asubuhi Hadi saa moja usiku.


Halafu linatokea Jitu linaishi kwa shemeji Yake linashupaza shingo eti Hakuna tatizo kwasababu liko Dar.


Pumbav kabisa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Jamaa sijui kala maharage ya wapi
 
Matatizo ya umeme tulianza kuyasahau! Automatically watu wameanza kununua generators kujihami shughuli zao! Sometimes naelewa kwanini JPM kuna watu aliwashughulikia bila huruma.
Ukiwa mfanyabiashara au na Nyumba kuwa na standby Generator ni kawaida sana!!...
 
Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
Umeme umekatika toka asubuhi hadi mda huu, zaidi ya masaa sita hakuna umeme...na ni maeneo mengi hapa mjini. Acha upumbavu!
 
Hapa ndio umakini wa JPM unakuja, huu upumbavu haukuwahi kuwepo, binafsi nilisahau kabisa hizi mambo za kukatika kwa umeme ovyo kiasi hiki.

JM ameweka mabeste zake, mama nae yupo tu sasa tutegemee majenereta kufanya kazi yake. Watu wa pwani kuna wakati wanakuwa wa hovyo hovyo tu, hivi JM nae si mtu wa pwani tu, hapo bumbuli si pwani tu..
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Mgao umerudi tena? Maana si kwa kukatika huku kwa umeme. Kuna shida gani?
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Mpigie simu au muandikie barua
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Acha tuuze majenereta mkuu
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
1. Unapotoa mfano uwe halisi, 2015 umeme ulikuwa imara chini ya mwamba Muhongo.
2. Umeme utakatika sana, lengo kumhujuma Makamba.
3. Lazima wamkaribishe kwa kukata umeme, nchi hii ina wenyewe
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom