johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Nimekutana na hii taarifa huko mitandaoni mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema akiwasa wapenda mabadiiliko wajipange kuanzia sasa.
Mgombea huyo amesema uimara wa Chadema kamwe hautatokana na udhaifu wa CCM bali mipango na mikakati waliyojiwekea ya kutwaa dola na kuleta mabadiliko. Hivyo makamanda wanapaswa kuwa na mipango enelevu na inayoshawishi wananchi kuanzia sasa.
Saa ya ukombozi ni sasa
Maendeleo hayana vyama!
Mgombea huyo amesema uimara wa Chadema kamwe hautatokana na udhaifu wa CCM bali mipango na mikakati waliyojiwekea ya kutwaa dola na kuleta mabadiliko. Hivyo makamanda wanapaswa kuwa na mipango enelevu na inayoshawishi wananchi kuanzia sasa.
Saa ya ukombozi ni sasa
Maendeleo hayana vyama!