GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
Mheshimiwa Rais Samia Wewe, Serikali yako pamoja na Chama chako cha CCM mlipaswa mtuombe Radhi Watanzania kwa kutupitisha katika Kipindi kigumu huku Wengine tukiumizwa zaidi. Rai yangu Kwenu CCM ni kwamba kwa miaka ijayo mtakuwa makini Kuteua Mgombea Urais anayefaa" amesema Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alipokuwa akizungumza leo katika Kilele cha Siku ya Wanawake duniani mbele ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Hassan.
Habari: ITV Tanzania
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitofanya tena Maombi ya Huruma na Kuwaombea Wanasiasa walioko Magerezani Mwenyezi Mungu awapiganie Watoke na badala yake sasa nitakuwa nawaombea Wadumu huko Magerezani ( Jela ) wanakostahili Daima Milele Amina ( Wasitoke kabisa Waozee huko huko ) kwani kumbe huwa tunakuwa tunawatetea Watu Wanafiki na Majuha. Waliotukuka. Najuta.
Hovyoo.......!!!!!!!
Habari: ITV Tanzania
Kuanzia sasa GENTAMYCINE sitofanya tena Maombi ya Huruma na Kuwaombea Wanasiasa walioko Magerezani Mwenyezi Mungu awapiganie Watoke na badala yake sasa nitakuwa nawaombea Wadumu huko Magerezani ( Jela ) wanakostahili Daima Milele Amina ( Wasitoke kabisa Waozee huko huko ) kwani kumbe huwa tunakuwa tunawatetea Watu Wanafiki na Majuha. Waliotukuka. Najuta.
Hovyoo.......!!!!!!!