UKWELI MCHUNGU: Kama Upinzani usipochukua hatua na kufanya mabadiliko makubwa ya ndani, kuna uwezekano wa CCM kutawala kwa miaka mingi sana ijayo

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,009
1,174
Wakuu poleni na hongereni kwa majukumu yenu kujenga taifa na nchi yetu.

Wakuu Kwa mara ya kwanza tulipata mwaliko wa kuhudhiria maadhimisho ya CCM tukiwa kama wataalamu wa afya Kwa ajili uchangishaji wa damu (blood donation)ktk maadhimisho hayo.

Wakuu tunatamani sana kuona vyama vya upinzani vinaimarika ili angalau tuwe na chama mbadala wa ccm, na hili linawezekana kwa kusema ukweli mchungu kwa kutambua uimara wa mpinzani wako na sio kuficha ficha madhaifu ya upinzani like kama ni milki ya watu Fulani tu.

Moja ya jambo nililojifunza ni kwamba CCM ina mfumo wa imara sana wa uongozi kuanzia shina kata wilaya kamati ya siasa utekelezaji katibu uenezi nk, Pili imeweka mfumo mzuri sana wa kuwajibishana, uongozi wa wilaya unaweza kumpa maelekezo DC au Das na akatekeleza n.k

Tatu, inajua kucheza na akili za wanachi kwa vitu vidogovidogo sana ,mfano kwenye hayo maadhimisho kulikuwa na vitu vidogo ila vinagusa wananchi Moja Kwa Moja like michezo games zawadi mbuzi nk

Nne, uimara wa kiuchumi wakuu Moja ya jambo muhimu nimeliona ni ccm kuwa vitega uchumi vingi haijalishi upatikanaji wake, lakini ni ukweli bila uimara kiuchumi Kwa vyama vya siasa vitaiahia kununuliwa tu kama sio na rule party basi na matajiri wa nje.

Nashauri yafuatayo kwa upinzani
Moja waimarishe mifumo ya uongozi na kuimarisha demokrasia ya ndani kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa, hii itaongeza Imani Kwa wanachama wake na wanachi kuona Kila mmoja ana nafasi SAWA ya kuwa kiongozi, vile vile baadhi ya nafasi za uongozi kuwepo na ukomo kama mkt wa kitaifa, sitaki kuamini ndani ya miaka 20 chama kinashindwa kuandaa kiongozi kwenye nafasi hizo, hii inaondoa Imani kwa wananchi na kuleta ukakasi endapo mtu huyo atapewa nafasi kubwa ya kitaifa itakuwaje, it shameful kwakeli.


Pili, waweke malengo ya muda mfupi yanayofikika kuliko malengo makubwa yasiyowekana , kwa mfano nilishauri upinzani uweke lengo la kuchukua viti vingi vya bunge ili iweze kuwa na maamuzi makubwa ya nchi, ikizi gatiwa kwa sasa wananchi wamechoka bunge hili, wakiipeleka hiyo agenda Kwa wananchi no rahis kupokelewa.

Tatu, upinzani utafute agenda zinazogusa wananchi Moja kwa moja, huku wakitoa elimu taratibu ya agenda kubwa kubwa.

Mfano wananchi wachache sana wanajua umuhimu wa katiba mpya katika kutatua matatizo Yao direct, bahati Chadema kama ajenda Yao wanashindwa kujenga vizuri hoja inayoanisha vizuri katiba mya na matatizo ya wananchi

Kwa uchache ni hayo ila suala la umoja ndani ya upinzani ni la muhimu sana.
 
Wakuu poleni na hongerni Kwa majukumu yenu kujenga taifa na nchi yetu.

Wakuu Kwa mara ya kwanza tulipata mwaliko wa kuhudhiria maadhimisho ya Ccm tukiwa kama wataalamu wa afya Kwa ajili uchangishaji wa damu (blood donation)ktk maadhimisho hayo.

Wakuu tunatamani sana kuona vyama vya upinzani vinaimarika ili angalau tuwe na chama mbadala wa ccm, na hili linawezekana kwa kusema ukweli mchungu kwa kutambua uimara wa mpinzani wako na sio kuficha ficha madhaifu ya upinzani like kama ni milki ya watu Fulani tu,

Moja ya jambo nililojifunza ni kwamba ccm ina mfumo wa imara sana wa uongozi kuanzia shina kata wilaya kamati ya siasa utekelezaji katibu uenezi nk, Pili imeweka mfumo mzuri sana wa kuwajibishana, uongozi wa wilaya unaweza kumpa maelekezo DC au Das na akatekeleza nk

Tatu inajua kucheza na akili za wanachi kwa vitu vidogovidogo sana ,mfano kwenye hayo maadhimisho kulikuwa na vitu vidogo ila vinagusa wananchi Moja Kwa Moja like michezo games zawadi mbuzi nk
Nne uimara wa kiuchumi wakuu Moja ya jambo muhimu nimeliona ni ccm kuwa vitega uchumi vingi haijalishi upatikanaji wake, lakini ni ukweli bila uimara kiuchumi Kwa vyama vya siasa vitaiahia kununuliwa TU kama sio na rule party basi na matajiri wa nje

Nashauri yafuatayo Kwa upinzani
Moja waimarishe mifumo ya uongozi na kuimarisha demokrasia ya ndani kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa, hii itaongeza Imani Kwa wanachama wake na wanachi kuona Kila mmoja ana nafasi SAWA ya kuwa kiongozi
,Vile vile baadhi ya nafasi za uongozi kuwepo na ukomo kama mkt wa kitaifa, sitaki kuamini ndani ya miaka 20 chama kinashindwa kuandaa kiongozi kwenye nafasi hizo, hii inaondoa Imani kwa wananchi na kuleta ukakasi endapo mtu huyo atapewa nafasi kubwa ya kitaifa itakuwaje , it shameful kwakel


Pili waweke malengo ya muda mfupi yanayofikika kuliko malengo makubwa yasiyowekana , kwa mfano nilishauri upinzani uweke lengo la kuchukua viti vingi vya bunge ili iweze kuwa na maamuzi makubwa ya nchi, ikizi gatiwa kwa sasa wananchi wamechoka bunge hili, wakiipeleka hiyo agenda Kwa wananchi no rahis kupokelewa

Tatu upinzani utafute agenda zinazogusa wananchi Moja kwa moja, huku wakitoa elimu taratibu ya agenda kubwa kubwa,

Mfano wananchi wachache sana wanajua umuhimu wa katiba mpya katika kutatua matatizo Yao direct, bahati Chadema kama ajenda Yao wanashindwa kujenga vizuri hoja inayoanisha vizuri katiba mya na matatizo ya wananchi

Kwa uchache ni hayo ila suala la umoja ndani ya upinzani ni la muhimu sana
Nature itafanya kazi yake na CCM itatoka kwa nguvu ya umma na jeshi na siyo upinzani.
 
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi vinatosha kuleta mabadiliko.
Mkuu tukumbuke hivyo vitu vitasimamiwa na watanzania Hawa hawa ambao bado hawajapewa hoja za kutosha juu ya umuhimu was katiba tu bfr hajaelezA katiba mpya ,
Kwa hiyo usitegemee mabadiliko makubwa kama hata iliyopo tumeshindwa kuisimamia

Pili vyama vya upinzani tunavyotegemea visimame na wananchi kutetea katiba bado vina udhaifu mkubwa wa ndani kuanzia mfumo wa uongozi nk.

Kwa hiyo tusitegemee bila mabadiliko ya ndani ya vyama, wataaminika na wananchi kudai au kutetea katiba mpya.
 
Wakuu poleni na hongerni Kwa majukumu yenu kujenga taifa na nchi yetu.

Wakuu Kwa mara ya kwanza tulipata mwaliko wa kuhudhiria maadhimisho ya Ccm tukiwa kama wataalamu wa afya Kwa ajili uchangishaji wa damu (blood donation)ktk maadhimisho hayo.

Wakuu tunatamani sana kuona vyama vya upinzani vinaimarika ili angalau tuwe na chama mbadala wa ccm, na hili linawezekana kwa kusema ukweli mchungu kwa kutambua uimara wa mpinzani wako na sio kuficha ficha madhaifu ya upinzani like kama ni milki ya watu Fulani tu,

Moja ya jambo nililojifunza ni kwamba ccm ina mfumo wa imara sana wa uongozi kuanzia shina kata wilaya kamati ya siasa utekelezaji katibu uenezi nk, Pili imeweka mfumo mzuri sana wa kuwajibishana, uongozi wa wilaya unaweza kumpa maelekezo DC au Das na akatekeleza nk

Tatu inajua kucheza na akili za wanachi kwa vitu vidogovidogo sana ,mfano kwenye hayo maadhimisho kulikuwa na vitu vidogo ila vinagusa wananchi Moja Kwa Moja like michezo games zawadi mbuzi nk
Nne uimara wa kiuchumi wakuu Moja ya jambo muhimu nimeliona ni ccm kuwa vitega uchumi vingi haijalishi upatikanaji wake, lakini ni ukweli bila uimara kiuchumi Kwa vyama vya siasa vitaiahia kununuliwa TU kama sio na rule party basi na matajiri wa nje

Nashauri yafuatayo Kwa upinzani
Moja waimarishe mifumo ya uongozi na kuimarisha demokrasia ya ndani kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa, hii itaongeza Imani Kwa wanachama wake na wanachi kuona Kila mmoja ana nafasi SAWA ya kuwa kiongozi
,Vile vile baadhi ya nafasi za uongozi kuwepo na ukomo kama mkt wa kitaifa, sitaki kuamini ndani ya miaka 20 chama kinashindwa kuandaa kiongozi kwenye nafasi hizo, hii inaondoa Imani kwa wananchi na kuleta ukakasi endapo mtu huyo atapewa nafasi kubwa ya kitaifa itakuwaje , it shameful kwakel


Pili waweke malengo ya muda mfupi yanayofikika kuliko malengo makubwa yasiyowekana , kwa mfano nilishauri upinzani uweke lengo la kuchukua viti vingi vya bunge ili iweze kuwa na maamuzi makubwa ya nchi, ikizi gatiwa kwa sasa wananchi wamechoka bunge hili, wakiipeleka hiyo agenda Kwa wananchi no rahis kupokelewa

Tatu upinzani utafute agenda zinazogusa wananchi Moja kwa moja, huku wakitoa elimu taratibu ya agenda kubwa kubwa,

Mfano wananchi wachache sana wanajua umuhimu wa katiba mpya katika kutatua matatizo Yao direct, bahati Chadema kama ajenda Yao wanashindwa kujenga vizuri hoja inayoanisha vizuri katiba mya na matatizo ya wananchi

Kwa uchache ni hayo ila suala la umoja ndani ya upinzani ni la muhimu sana

Kwani kuna wenye utashi au utayari wa kupisha kwa haki?

FoIw0-zXEAMts-_.jpeg
 
Nature itafanya kazi yake na CCM itatoka kwa nguvu ya umma na jeshi na siyo upinzani.
Lengo la vyama vya upinzani ni kuepusha hayo mkuu. Mataifa mengi yalipinduliwa kineshi mpaka Leo hawana amani.

Pia upinzani ukisubiri jeshi l ifanye kazi unakuwa hauna maana na kwa bahati mbaya ccm inajua namna ya kula na jeshi.

Moja ya tabia ya nature ni kupenda mabadiliko ya mara Kwa mara na ccm imeweza kuendana na nature kuliko upinzani kwa kufanya mabadiliko ya uongozi mara kwa mara.

But naamini bado upinzani wanayo nafasi ya kufanya mabadiliko.
 
Lengo la vyama vya upinzani ni kuepusha hayo mkuu,
Mataifa mengi yalipinduliwa kineshi mpaka Leo hawana amani
Pia upinzani ukisubiri jeshi l ifanye kazi unakuwa hauna maana na kwa bahati mbaya ccm inajua namna ya kula na jeshi
Moja ya tabia ya nature ni kupenda mabadiliko ya mara Kwa mara na ccm imeweza kuendana na nature kuliko upinzani ,Kwa kufanya mabadiliko ya uongozi mara Kwa mara,
But
Naamini bado upinzani wanayo nafasi ya kufanya mabadilino
Upinzani ni too weak. Sioni CCM ikiondoka bila msaada wa umma na jeshi.
 
Hata kwenye tume ya Nyalali kurudisha mfumo wa vyama vingi asilimia 80 ya Watanzania walisema hawajapewa hoja za kutosha kwa nini vyama vingi viwepo ila uchaguzi wa 1995 wa vyama vingi mgombea wa upinzani alipata karibia asilimia 40 ya kura.
Mkuu tukumbuke hivyo vitu vitasimamiwa na watanzania Hawa hawa ambao bado hawajapewa hoja za kutosha juu ya umuhimu was katiba tu bfr hajaelezA katiba mpya ,
Kwa hiyo usitegemee mabadiliko makubwa kama hata iliyopo tumeshindwa kuisimamia

Pili vyama vya upinzani tunavyotegemea visimame na wananchi kutetea katiba bado vina udhaifu mkubwa wa ndani kuanzia mfumo wa uongozi nk
Kwa hiyo tusitegemee bila mabadiliko ya ndani ya vyama, wataaminika na wananchi kudai au kutetea katiba mpya
 
Mkuu tukumbuke hivyo vitu vitasimamiwa na watanzania Hawa hawa ambao bado hawajapewa hoja za kutosha juu ya umuhimu was katiba tu bfr hajaelezA katiba mpya ,
Kwa hiyo usitegemee mabadiliko makubwa kama hata iliyopo tumeshindwa kuisimamia

Pili vyama vya upinzani tunavyotegemea visimame na wananchi kutetea katiba bado vina udhaifu mkubwa wa ndani kuanzia mfumo wa uongozi nk
Kwa hiyo tusitegemee bila mabadiliko ya ndani ya vyama, wataaminika na wananchi kudai au kutetea katiba mpya
Kama vyama vya upinzani vina udhaifua mkubwa basi CCM yenyewe, makanisa, misikiti na civil organisations watuongoze kuipata hiyo katiba mpya kwa sababu katiba ni kwa ajili ya raia wote wa nchi hii na sio upinzani tu.
 
Upinzani ni too weak. Sioni CCM ikiondoka bila msaada wa umma na jeshi.
Upinzani Bado una nafasi kubwa ya kuongeza nguvu zake kutoka kwa umma
kwa kuimarisha niliyoshauri hapo juu ili umma uweze kuwaunga mkono na kuwapa sapot
Kama tanu iliweza kupata uhuru bila nguvu ya kijeshi naamini pia upinzani unaweza kuchukua madaraka pia bila jeshi,
Lakini pia jeshi nilazima liwaamini upinzani pia kabala ya kuwatetea kwenye haki yao
 
Wakuu poleni na hongerni Kwa majukumu yenu kujenga taifa na nchi yetu.

Wakuu Kwa mara ya kwanza tulipata mwaliko wa kuhudhiria maadhimisho ya Ccm tukiwa kama wataalamu wa afya Kwa ajili uchangishaji wa damu (blood donation)ktk maadhimisho hayo.

Wakuu tunatamani sana kuona vyama vya upinzani vinaimarika ili angalau tuwe na chama mbadala wa ccm, na hili linawezekana kwa kusema ukweli mchungu kwa kutambua uimara wa mpinzani wako na sio kuficha ficha madhaifu ya upinzani like kama ni milki ya watu Fulani tu,

Moja ya jambo nililojifunza ni kwamba ccm ina mfumo wa imara sana wa uongozi kuanzia shina kata wilaya kamati ya siasa utekelezaji katibu uenezi nk, Pili imeweka mfumo mzuri sana wa kuwajibishana, uongozi wa wilaya unaweza kumpa maelekezo DC au Das na akatekeleza nk

Tatu inajua kucheza na akili za wanachi kwa vitu vidogovidogo sana ,mfano kwenye hayo maadhimisho kulikuwa na vitu vidogo ila vinagusa wananchi Moja Kwa Moja like michezo games zawadi mbuzi nk
Nne uimara wa kiuchumi wakuu Moja ya jambo muhimu nimeliona ni ccm kuwa vitega uchumi vingi haijalishi upatikanaji wake, lakini ni ukweli bila uimara kiuchumi Kwa vyama vya siasa vitaiahia kununuliwa TU kama sio na rule party basi na matajiri wa nje

Nashauri yafuatayo Kwa upinzani
Moja waimarishe mifumo ya uongozi na kuimarisha demokrasia ya ndani kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa, hii itaongeza Imani Kwa wanachama wake na wanachi kuona Kila mmoja ana nafasi SAWA ya kuwa kiongozi
,Vile vile baadhi ya nafasi za uongozi kuwepo na ukomo kama mkt wa kitaifa, sitaki kuamini ndani ya miaka 20 chama kinashindwa kuandaa kiongozi kwenye nafasi hizo, hii inaondoa Imani kwa wananchi na kuleta ukakasi endapo mtu huyo atapewa nafasi kubwa ya kitaifa itakuwaje , it shameful kwakel


Pili waweke malengo ya muda mfupi yanayofikika kuliko malengo makubwa yasiyowekana , kwa mfano nilishauri upinzani uweke lengo la kuchukua viti vingi vya bunge ili iweze kuwa na maamuzi makubwa ya nchi, ikizi gatiwa kwa sasa wananchi wamechoka bunge hili, wakiipeleka hiyo agenda Kwa wananchi no rahis kupokelewa

Tatu upinzani utafute agenda zinazogusa wananchi Moja kwa moja, huku wakitoa elimu taratibu ya agenda kubwa kubwa,

Mfano wananchi wachache sana wanajua umuhimu wa katiba mpya katika kutatua matatizo Yao direct, bahati Chadema kama ajenda Yao wanashindwa kujenga vizuri hoja inayoanisha vizuri katiba mya na matatizo ya wananchi

Kwa uchache ni hayo ila suala la umoja ndani ya upinzani ni la muhimu sana
Upinzani watu wanapenda tu kuwalaumu kwa hoja nyepesi bila kuangalia mazingira yaliyowabana sasa na siku zilizopita. Upinzani umejitahidi mno kwa mfano kuweza kusurvive chini ya dikteta. Watu waliumizwa na kuuwawa! Hata pamoja na kila kitu kutumika kuisaidia CCM ikiwa ni pamoja na dola, fedha nyingi na ubabe, upinzani ulijitahidi na uliendelea kuwa tishio kubwa kwa CCM hadi dikteta akaamua kuipitisha wagombea wa CCM bila kupingwa. Tatizo sio wapinzani, tatizo ni mfumo wetu mbovu, katiba na watanzania wenyewe.
 
Upinzani Bado una nafasi kubwa ya kuongeza nguvu zake kutoka kwa umma
kwa kuimarisha niliyoshauri hapo juu ili umma uweze kuwaunga mkono na kuwapa sapot
Kama tanu iliweza kupata uhuru bila nguvu ya kijeshi naamini pia upinzani unaweza kuchukua madaraka pia bila jeshi,
Lakini pia jeshi nilazima liwaamini upinzani pia kabala ya kuwatetea kwenye haki yao
Naheshimu mawazo yako lakini sikubaliani nayo hadi nione chama chenye kiu ya kuchukua madaraka toka kwa CCM.
 
Lengo la vyama vya upinzani ni kuepusha hayo mkuu,
Mataifa mengi yalipinduliwa kineshi mpaka Leo hawana amani
Pia upinzani ukisubiri jeshi l ifanye kazi unakuwa hauna maana na kwa bahati mbaya ccm inajua namna ya kula na jeshi
Moja ya tabia ya nature ni kupenda mabadiliko ya mara Kwa mara na ccm imeweza kuendana na nature kuliko upinzani ,Kwa kufanya mabadiliko ya uongozi mara Kwa mara,
But
Naamini bado upinzani wanayo nafasi ya kufanya mabadilino

Mkuu nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kwenye bandiko lako namba moja, maana naona logic kwa kiwango cha kuridhisha, hasa hapo kwenye viongozi wa upinzani kukaa madarakani kwa muda mrefu.

Sehemu ambayo nashindwa kukubaliana na maelezo yako, ni hapo unaposema CCM ina mifumo imara ya kuwajibishana. Mkuu unataka tuamini hilo? Unaweza kunitajia uwajibishwaji wa waliomiliki mali za CCM baada ya ripoti ya tume ya Bashiru? Je fedha nyingi za umma zilizoliwa na wañaccm ni hatua gani walichukuliana?

Hiyo miradi ni kwakuwa CCM iko madarakani, na inapata upendeleo wa vyombo vya dola. Hata uwepo wake madarakani unategemea 70% nguvu ya vyombo vya dola,na sio ushawishi wake wa kisiasa. Leo hii CCM ikitoka madarakani hivyo vitega uchumi vyake karibia vyote vitapukutika. Kwa namna viwanda na mashirika ya umma yalivyofilisika katika miaka ya 80, basi ndivyo miradi ya CCM itakavyomalizika.

Unasema wapinzani hasa CDM wameshikilia suala la katiba mpya, ila wanashindwa kujenga hoja vizuri, ni kwamba CDM hawawezi kujenga hoja vizuri, au wananchi wenyewe wanakuwa waoga kuchukua hatua? 2012-2015 suala la katiba lilijadiliwa na wananchi wakaelewa vizuri, na suala la katiba mpya pamoja na kuchezewa lilibaki hatua ya kura. Akaja rais mlevi wa madaraka akahamisha matakwa ya wananchi. Je hapo tatizo ni wapinzani au ni uoga wa wananchi? Au unataka kusema kwa sasa wananchi wamepata udumavu wa akili kulinganisha na wale waliotoa maoni yao kwenye tume ya jaji Warioba?

Ni hivi, kila siku ninasema bila machafuko CCM haitoki madarakani, ama mapinduzi ya kijeshi. Ifahamike hadi sasa na ushahidi wa wazi upo, kuwa CCM haipo madarakani kwa ridhaa ya wananchi walio wengi, bali ni mafungamano yao na vyombo vya dola. Suala la kuitoa madarakani CCM kwa njia ya box la kura lisiloheshimika ni kupoteza muda. Kama nchi itakosa amani baada ya CCM kupinduliwa, basi viongozi wa CCM ndio watapaswa kufanyiwa ukatili wa wazi kwa kuingiza nchi hii matatizoni kwa uchu wao wa madaraka.
 
Back
Top Bottom