Mwamba ajenga fremu kituo cha mwendokasi Mbagala licha ya kupigwa stop na serikali

Kila mwenye pesa kwa sasa ni kambale. Watu wametiwa mfukoni. Mf. GSM kwa sasa anafanya atakalo, awamu zijazo tunavirejesha Serikalini wasidhani hatuoni huu upuuuzi.
Baada huwa wanaona kama wanaonewa kumbe ndio uhalisia
 
Baada huwa wanaona kama wanaonewa kumbe ndio uhalisia
Wangejifunza kwa Manji ingependeza. Alitemeshwa COCOBEACH, Akatema QUALITY PLAZA nk. Wafadhili wa Soka hasa kwenye Timu yetu ya Chama na Serikali huwa WanaAjenda nyuma yake.
 
Bado nawashangaa waliotoa kibali pale Bigbon Msimbazi lile jengo lijengewe vile, bado nawashangaa
 
Tujifunze kuangalia FURSA na kuzitumia PONGEZI kwake aliyebaini hilo eneo na kuichungulia FURSA tuungane mkono.

Huyo hakuna tofauti na MACHINGA waliojazana pembezoni mwa barabara kiasi ni shida kwa waenda kwa miguu. Ukiiona fursa tumia .

Kosa Lake nadhani issue ya vibali vya ujenzi ndo maana ya maandishi na EKSII KUONEKANA HAPO.
 
View attachment 2863230View attachment 2863234
Bila shaka huyu ni kigogo mzito sana, anajenga frem kwenye hifadhi ya barabara, ndani ya kituo cha mwendokasi Mbagala, kibali amepata wapi? Ilikuja Tanroad ikasimamisha ujenzi na kupiga X jamaa akafuta kwenye x za kijivu ujenzi unaendelea, wakaja tena wakarudia kupiga X bado mafundi wanapaua kwwa kasi. Idadi ya frem ni nyingi sana.

Ni nani huyu ambaye ni mkubwa kuliko serikali?
Mkuu wa mkoa amemshindwa?
Meneja wa Tanroad amemshindwa?
Dar wamemshindwa?
Wizara ya ardhi imemshindwa?
Je Jery Silaa anajua hii?
Nikitazama najisemea hakuna kikubwa duniani kama pesa na madaraka. Utafanya unavyotaka.

Madhara ya ujenzi huu yatakuwa makubwa sana sababu zitabinya upana wa barabara kwa magari na wateja wanaofanya manunuzi, hivyo kuongeza kero nyingine kwa watumiaji.

Juzi kati Nimeulizia madalali bei ya pango. nimeambiwa kwa mwezi mmoja bei ya frem moja ni ml.1 manayake kama ana fremu 30 kwa mwaka ana m360 ashindwi kuwapoza viongozi wenye tamaa
 
View attachment 2863230View attachment 2863234
Bila shaka huyu ni kigogo mzito sana, anajenga frem kwenye hifadhi ya barabara, ndani ya kituo cha mwendokasi Mbagala, kibali amepata wapi? Ilikuja Tanroad ikasimamisha ujenzi na kupiga X jamaa akafuta kwenye x za kijivu ujenzi unaendelea, wakaja tena wakarudia kupiga X bado mafundi wanapaua kwwa kasi. Idadi ya frem ni nyingi sana.

Ni nani huyu ambaye ni mkubwa kuliko serikali?
Mkuu wa mkoa amemshindwa?
Meneja wa Tanroad amemshindwa?
Dar wamemshindwa?
Wizara ya ardhi imemshindwa?
Je Jery Silaa anajua hii?
Nikitazama najisemea hakuna kikubwa duniani kama pesa na madaraka. Utafanya unavyotaka.

Madhara ya ujenzi huu yatakuwa makubwa sana sababu zitabinya upana wa barabara kwa magari na wateja wanaofanya manunuzi, hivyo kuongeza kero nyingine kwa watumiaji.
Mwendazake alikuwa akiwatokomeza mnamlaumu,haya Sasa.
 
View attachment 2863230View attachment 2863234
Bila shaka huyu ni kigogo mzito sana, anajenga frem kwenye hifadhi ya barabara, ndani ya kituo cha mwendokasi Mbagala, kibali amepata wapi? Ilikuja Tanroad ikasimamisha ujenzi na kupiga X jamaa akafuta kwenye x za kijivu ujenzi unaendelea, wakaja tena wakarudia kupiga X bado mafundi wanapaua kwwa kasi. Idadi ya frem ni nyingi sana.

Ni nani huyu ambaye ni mkubwa kuliko serikali?
Mkuu wa mkoa amemshindwa?
Meneja wa Tanroad amemshindwa?
Dar wamemshindwa?
Wizara ya ardhi imemshindwa?
Je Jery Silaa anajua hii?
Nikitazama najisemea hakuna kikubwa duniani kama pesa na madaraka. Utafanya unavyotaka.

Madhara ya ujenzi huu yatakuwa makubwa sana sababu zitabinya upana wa barabara kwa magari na wateja wanaofanya manunuzi, hivyo kuongeza kero nyingine kwa watumiaji.
Ninapita pale Kila siku na ninajiuliza Kila siku yaani Kuna watu wababe aiseee na ninadhani mfumo wetu uko hoi sana na anzia kwenye pale kwenye soko la zakihem hazifunguliwa kumbe Kuna wajanja walishanikabidhi kabla ya kuwapa wale waliokuwepo k
Mwanzo akili za ccm na serikali yake zimekwama kitambo sana
 
Back
Top Bottom