[emoji38][emoji38][emoji38] tuanzie hapoU
Koo wenu MNa akili au unataka mbebesha mtoto mzigo ambao sio wake
Nimetoa more than one suggestion Boss ndio mana nimesema mwalimu abadilishwe kwasababu njia za ufundishaji na wito una tofautiana, 2. Labda kuna mtu ana msumbua huyo mtoto mda mwingini ana kuwa mwoga akili haiwezi kuwa active ana ogopa ogopa ila mzazi na mwalimu wanabakia wakikazana haelewi so bora mzazi pia ajishulishe kumchunguza kiafya etc.Hapo kwenye kuchangamka umenichekesha🤣😂🤣mm pia sikuaga na changamka utotoni.....pamoja nilikua sichangamki ila huwezi kunionea
Mfano kwenye ma bembea...nilipenda kutizama Kwa macho...
Kweny swimming 🥽 nilipenda kua mtazamaji...
Kwenye Yale makolokolo ya watoto midoli na vikoleo pamoja na mattiper ya kuchezea sikupenda pia....
Mara nyingi nili penda kukaa peke angu bila kujichanganya na watu....
Sidhani kama mtoto atakua na Tatizo bali ni kumpa muda zaidi.....maana ni mapema MNO....
Anaimba mziki wa dance
unalia Nini mwanachama mwenzangu wa jf?Sikuona id sorry [emoji24]
Huyo mtoto amerithi akili zako[emoji28]
🙌🙌🙌💃💃📌Huyo mtoto amerithi akili zako😅
Mtoto anatak veta wew unamfosi asome madude magumu
wee binti?yani nakuwekea mitego mnoo uje pm lakini unagoma😅😅😅🙌🙌🙌💃💃📌
Binti gani tena?? Sema mama..nakuzaawee binti?yani nakuwekea mitego mnoo uje pm lakini unagoma😅😅😅
Ss maafsa mifugo na kilimo kuna uhuni gani sie kazi yetu n kilimo tuUngesema baadhi mkuu, kila fani inauvamizi wa wahuni
aawee.mimi Nina miaka 46 wewe?Binti gani tena?? Sema mama..nakuzaa
unalia Nini mwanachama mwenzangu wa jf?
ok.Nothing
64aawee.mimi Nina miaka 46 wewe?
nimekupima tuu nione Kama utasema uongo au vipi.ukweli Mimi Nina 71