Mwalimu wa tution kanikatisha tamaa

Mwalimu wa tution kanikatisha tamaa

Hellow guys

Dah nina mtoto wa wa ndugu yangu ambae binafsi niliamua kumsaidia katika masom yake nikampeleka tution.

Jana nikapiga simu kwa mwalimu wa tution kuuliza maendeleo yake vipi dah sikutalajia ajibu vile au kupata feedback ile

Mwalimu: mzazi mwanao ni mzito sana ndio maana ata sijakudai hela ya tution ya miezi miwili mwanao hana mwelekeo wowote ule nashindwa kuelewa nitumie njia gani ila ngoja tuone

Mimi : sawa kaka

Hapa nifanyeje na huyu mtoto [emoji849]
Usilaumu mtoto,lazina kuna mzazi mmojawapo ni kilaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom