DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 14,231
- 32,050
Ngoja nije na factNdiyo
Ngoja nije na factNdiyo
Usijar mdogo angu..🤓🤓🤓🤓Sikuona id sorry [emoji24]
mtoto ana umri gani?? inaonekana una haraka sana na maendeleo ya mtoto kuliko uwezo wake halisi nenda nae taratibuShida mzito kuongea
MEMKWAUnataka jamaa akawatishe watoto wa watu darasani? 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aisee[emoji23][emoji23][emoji23] mboona unatoa siri sasa rafiki yangu
Usijar mdogo angu..[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee
mtoto ana umri gani?? inaonekana una haraka sana na maendeleo ya mtoto kuliko uwezo wake halisi nenda nae taratibu
kwani wewe huwezi kufnya assessment kujiridhisha? mwalimu kakwambia ukweli wewe ulitaka akudanganye?Hellow guys
Dah nina mtoto wa wa ndugu yangu ambae binafsi niliamua kumsaidia katika masom yake nikampeleka tution.
Jana nikapiga simu kwa mwalimu wa tution kuuliza maendeleo yake vipi dah sikutalajia ajibu vile au kupata feedback ile
Mwalimu: mzazi mwanao ni mzito sana ndio maana ata sijakudai hela ya tution ya miezi miwili mwanao hana mwelekeo wowote ule nashindwa kuelewa nitumie njia gani ila ngoja tuone
Mimi : sawa kaka
Hapa nifanyeje na huyu mtoto [emoji849]
Ukiwa huku huwa unatumia kichwaMtoto kama huyo peleka tu VETA, halafu baada ya kumaliza masomo ya fani atakayoisome; utakuja kuona matunda yake.
Huyo mtoto amechukua akili zakoHapana analudi home kabisa
Asante mdogo angu..Sawa kaka karibu lunch
kwani wewe huwezi kufnya assessment kujiridhisha? mwalimu kakwambia ukweli wewe ulitaka akudanganye?
MOJA:Hembu kwanza tafuta muda kaa na huyo mtoto mchunguze kama kuna jipya uta gundua ina weza kuwa ana jambo lina msumbua ila hakuna alie weza gundua ila mmefocus eneo moja tu la kutaka asome zaidi kumbe ana tatizo laki afya.
PILI: Badili mwalimu bila kumweleza mwalimu mpya lolote uone kama pata kuwa na taarifa hiyo hiyo.
TATU: Kampani yake iko vipi? wanao cheza nae wapo vipi? Ana changamka kama wengine? Walimu shuleni wana semaje?
Huyo mtoto amechukua akili zako
Dogo karithi huyo 😅😅😅Aangalia kwanza Wazazi wake nao wako smart kwa kichwa au ndiyo Dogo karithi akili za Wazazi wake!!??
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hahahah magufuli alikuwa na akili Sana eti eeh?😅sa mbona aliungaunga Sana vyeti hahahKuwa na akili au kutokua na akili isikuchanganye hilo gar siku likiwaka mbona ndo next Magufuli uyoooo.....
Hapo kwenye kuchangamka umenichekesha🤣😂🤣mm pia sikuaga na changamka utotoni.....pamoja nilikua sichangamki ila huwezi kunioneaMOJA:Hembu kwanza tafuta muda kaa na huyo mtoto mchunguze kama kuna jipya uta gundua ina weza kuwa ana jambo lina msumbua ila hakuna alie weza gundua ila mmefocus eneo moja tu la kutaka asome zaidi kumbe ana tatizo laki afya.
PILI: Badili mwalimu bila kumweleza mwalimu mpya lolote uone kama pata kuwa na taarifa hiyo hiyo.
TATU: Kampani yake iko vipi? wanao cheza nae wapo vipi? Ana changamka kama wengine? Walimu shuleni wana semaje?