Mwalimu wa tution kanikatisha tamaa

Mwalimu wa tution kanikatisha tamaa

Ndio kwa sababu unajua watasema kachukua akili za baba yake

Baba yake alikuw anakuja kitaa nimfundishe hata jinsi ya kupost JF

ngoja nikupe account kabisa uimiliki au na simu
 
🥲🥲Basi mwanangu namwonea huruma sana maana hikik kichwa Cha mama yake🤣🤣 looh
Hurithi akili kwa mama lakini tabia anarithi za baba plus malezi.
Sasa inategemea mkeo yupoje?
😅😅😅😅😅 umenichekesha sana we mtu.
Ila ina wezekana akawa hivyo unavyomuona lakini smart kichwani.
 
Hurithi akili kwa mama lakini tabia anarithi za baba plus malezi.
Sasa inategemea mkeo yupoje?
😅😅😅😅😅 umenichekesha sana we mtu.
Ila ina wezekana akawa hivyo unavyomuona lakini smart kichwani.
Ni smart ila akili akichukua za mama 🤣🤣 aisee au ngj niishie apo, japo ni kadogo ngoja kakue kue kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom