Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
- Thread starter
- #21
Kichwa tofari hadi ticha kakimbia fedha hiyo hatari kabisa
Dah icho ndicho kinanipa mawazo
Kichwa tofari hadi ticha kakimbia fedha hiyo hatari kabisa
Mwanao jinsia Gani na Mwalimu jinsia Gani... Maana siku izii maadili ya walimu Yamepolomoka.... Isije ikawa Kuna namnaaaaa... Mwalimu anasilikizia...
U
Koo wenu MNa akili au unataka mbebesha mtoto mzigo ambao sio wake

sio kweli bhna siamin katika ilo hataSi dhambi kuwa mzito wa akili ila si salama saana kumkazania huko...jaribu kuongea nae mwenyewe kwa namna ya kushauriana umsikilize maoni yake afu umshauri ajaribu masomo mengine ya ujuzi. Atakachoona kinamfaa msikilize
ooh,, usioneshe kumkatia tamaa, jitahidi kufanya follow up ya maendeleo yake kila anaporudi kutoka tuition, he/she is not an empty vessel atakaa tu kwenye mstari
Nadhani hutakiwi kutumia mguvu sana, nenda nae hivyo hivyo taratibu bila kuonyesha unakasirika.Tuna fanyaje sasa
Mpeleke Veta mkuu, elimu ya ma fiziksi, history na hesabati it’s not for everyone…mpeleke veta apate elimu kwa vitendo mbona atafanya vizuri tu
Kuwa na akili au kutokua na akili isikuchanganye hilo gar siku likiwaka mbona ndo next Magufuli uyoooo.....
Mbadilishie Mwalimu.... Wakat mwingiline mwanafunzi asipopendezwa na Mwalimu hua sababu ya kuto kuelewa Darasani... Jaribu kumbadilishia Tuition... Huwenda kukawa na mabadilikoMwalimu ni kijana mwanangu wakike
Sema ukwel kuwa huyo ni mwanao tu unapungukiwa na nini![]()



TanguHellow guys
Dah nina mtoto wa wa ndugu yangu ambae binafsi niliamua kumsaidia katika masom yake nikampeleka tution.
Jana nikapiga simu kwa mwalimu wa tution kuuliza maendeleo yake vipi dah sikutalajia ajibu vile au kupata feedback ile
Mwalimu: mzazi mwanao ni mzito sana ndio maana ata sijakudai hela ya tution ya miezi miwili mwanao hana mwelekeo wowote ule nashindwa kuelewa nitumie njia gani ila ngoja tuone
Mimi : sawa kaka
Hapa nifanyeje na huyu mtoto![]()
K.A.U.S.H.AAcha basi 😅😅😅
Negative motivation
Mm
Siku
Zote
Huwa
Na
Be
Motivated
Na
Negative motivation
Nimekumbuka
Ule
Wimbo
Wa
Mwana FA
Ft
Lady Jd
Usiache kuongea
Kwa Sasa
+267

pumbavu 

Ndio kwa sababu unajua watasema kachukua akili za baba yake😁Kwahiyo tangu umjue mwanangu imekuwa shida sana![]()
Mbadilishie Mwalimu.... Wakat mwingiline mwanafunzi asipopendezwa na Mwalimu hua sababu ya kuto kuelewa Darasani... Jaribu kumbadilishia Tuition... Huwenda kukawa na mabadiliko
Unataka jamaa akawatishe watoto wa watu darasani? 😅😅K.A.U.S.H.A
🥲🥲Basi mwanangu namwonea huruma sana maana hikik kichwa Cha mama yake🤣🤣 loohWatoto hurithi akili kwa mama zao.