MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Kwa Walimu Waliopangwa Karatu Ebu Niulize Chochote Maana Napiga Kazi Huko Namba Yangu Ni 0765481551
 
ni mmo1 wapo, bt cjui chochote kuhusu arusha dc

Kiukweli Ni Mzaliwa Wa Arusha Dc Nimesoma Hapo Nimefundisha Pia,arusha Dc Maeneo Za Vijijini Ni Wamasai Ndio Wengi,kiukweli Ni Watu Wakarimu,shule Za Vijijini Network Na Maji Inapatikana,umeme Sio Kivile Ila Usafiri Upo Kila Mahali Sio Mbali Na Katikati La Jiji La Arusha,kwa Maelezo Zaidi Piga 0765481551
 
Waliopangiwa Geita, wilaya ya Bukombe, au mtu yeyote yule anayeifahamu vizuri hiyo wilaya aniisaidie

Karibu (Ushirombo) Wilaya ya Bukombe.
Kwa mahitaji ya nyumba ya kupanga naomba ukuje pm
 
Kifupi, ni wilaya magumashi na mpaka sasa haina umeme wilaya nzima. Maisha ya shida but yako chini.

Usiwe muongo kwa kusema ni wilaya ya magumashi. Kama ni umeme tayari nguzo na nyaya zimekwisha wekwa, tuasubiri kusambaziwa majumbani tu
 
kigoma kasulu dc nipe habari zake

Anzia Kakonko, Kibondo, Kasuliu - Kigoma. Kiujumla chakula ni kingi sana na mazao huiva kwa wingi. Wenyeji wengi wa maeneo hayo hawazingatii usafi wa mazingira na wao binafsi. Zaidi kasulu kuna vumbi la kutosha. Jitahidi kuto kujihusisha na mke/mume wa mtu, hawata chelewa kukutengeneza. Bei za nyumba bado ni nafuu isipo kua Kasulu kidogo bei ipo juu
 
Ungepita tabora ndo karibu..maana tabora to mpanda ni 7 hours.shemeji ako ndo anakofanyia kazi huko.ila network inayoshika huko ni airtel tu mkuu.
 
Mimi ni mkazi wa mpanda kuna mitandao mikuu mitatu Airtel,Vodacom na tiGo pia,kwahio kuwa na amani Mkuu
 
Mimi ni mkazi wa mpanda kuna mitandao mikuu mitatu Airtel,Vodacom na tiGo pia,kwahio kuwa na amani Mkuu

shemeji yako alikua anatumia tigo before,lakin imebidi ahamie airtel,maana tigo ni haikamati.
 
kichwa cha habari cha husika, naombeni msaada tafadhali
hongera nilikua huko last wk kwa kijana mwenye malengo pako powa sana,panda nbs bus dar to tabora naul40 utafka sa1 ukifka tbr tafuta air bus la kwenda mpanda tsh20 utafka sa 8 or 9kama mvua itakua haijanyesha. njia ya mbeya ni ndefu bt kaza moyo konde ni mbal na njia so nzur kivile
 
Back
Top Bottom