MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Bukombe Geita (Ushirombo) ni moja ya wilaya bora kuliko wilaya zingine za Geita Region. Umeme ndio umefika sasa kwa sababu ya uchaguzi, Maji yapo sema ni kisima, mji umepagwaa vizur kulingana na mitaa, Hospital IPO nzur sana, Vyakula ni beii rahisi, na watu waoo ni wakarimu sana!! Jitahidii upangiwe shule hizi zifuatayo ndio utapata hayo niliyokueleza apo juu.: Ushirombo Sec. Katente Sec. Businda Sec. Na Runzewe Sec. Mwalimu ukipangiwa shule tofauti na izoo. Jiandaee kisaikolojiaa ni pagumu sana.
 
Umeme Uko na Gari hadi USA au mainroad ni nyingi Wilaya ya Meru inaanzia Mto Nduruma km ka 9 hivi toka Arusha kwenye barabara kuu ya Arusha Moshi. Mjini Vituo Vikubwa ni Sanx, Tenderu, Makumira, Legaganga(ambapo ni makao ya Wilaya) kuna USA, Njia Ngurdoto, Maji ya Chai, Kikatiti, Kingo'ori ambapo ni mpakani na Kia (mkoa wa Kilimanjaro). Hivyo vituo niluvotaja ndo kuna njia za kwenda huko interior na barabara almost ni nzuri upande wa Kusini imepakana na Mererani upande wa kaskazini ni hadi mlima Meru na Arusha National Park na kiukweli eneo la Kaskazini ni kuzuri zaidi
NB. Kuna sehemu maji ni ya fluoride mnanuna ya mto Ngurdoto maeneo hayo ni Maji ya Chai, Imbaseni, Ngongongare, Ngurdoto

Pukudu habar, inaonekana unaifahamu Arusha vyema. Vip arusha dc. Nitafurah kuelewa hyo arusha dc maana cjui ni mjin au kijijini!
 
wakuu naomba kuuliza ..!!
tunaweza kuripoti kwa hiyo tarehe waliokuwa wameipanga au ndio ni kusubiria hizo post mpya za marekebisho ???
 
Hivi wananchi wa huko kwanini wanaendelea kuikumbatia ccm hadi leo 52 years!!
Napata uchungu sana sana nikisoma comments humu jinsi nchi ilivyo choka
Probably ndiyo inayoongoza kwa uzalishaji wa Korosho hapa Tanzania,ila wana changamoto sana,na ukitaka kuzijua changamoto za nchi hii tembelea rural areas mdau,me sielewi lakini what happen inapofika election,ila huenda wanaridhika na hali halisi iliyopo.
 
Msaada plz.. Natafuta majina but sipati Link yake.. Nimejarib TAMISEMI na ELIMU but cjayaona..
 
nenda huko ukafundishe mkinyimwa ajira mnalia mkipangiwa mbali mnalalamika sasa msaidiwaje ?
kama unaona mbali usiende
 
Kwa hiyo wewe kupangiwa mpanda ndio umekomolewa? Wewe ulitaka upangiwe wapi?
 
Msaada plz.. Natafuta majina but sipati Link yake.. Nimejarib TAMISEMI na ELIMU but cjayaona..

Yameondolewa kwa ajili ya marekebisho coz sekomu wliajiriwa wa mwaka juz badala ya mwaka jana. Hop watarudisha afta marekebisho
 
Ana wazimu huyo sio bure.. Juzi tu hapa alikuwa anaililia hii ajira.

Kwani huko Mpanda hawaishi watu?au weye ndo utakuwa mtumishi wa umma wa kwanza kupangwa huko?
 
nenda huko ukafundishe mkinyimwa ajira mnalia mkipangiwa mbali mnalalamika sasa msaidiwaje ?
kama unaona mbali usiende

Anajishaua tu,hana lolote. Na aache kwenda tuone km ataweza.
 
Tamisemi wameamua kutukomoa watu wa dar es salaam. Lakini mkae mkijua mmeikomoa serikali pia kwenye suala la kulipa fidia ya nauli.

nani kakudanganya kuwa hiy fidia ni big issue...kwa taarifa yako dar mpanda wanalipa elfu 97 tu basi!
 
Ni siku Mbili mkuu unatoka hapa na basi la moja kwa moja kutoka dar to sumbawanga ambapo saa nne usiku utaingia sumbawanga utawala pale asubuhi utaanza safari Ya Mpanda ambapo nikama masaa manne au matano Hivi
 
Ana wazimu huyo sio bure.. Juzi tu hapa alikuwa anaililia hii ajira.

Kwani huko Mpanda hawaishi watu?au weye ndo utakuwa mtumishi wa umma wa kwanza kupangwa huko?

Sehemu nzuri sana na hasa kwa mtu mwenye ubungo Mpana kifikra atapiga pesa Mie nilienda mwakajana nimenunua mashamba kwa bei Ya kutupa vijana wa kenya wamejaa huko wanamaeneo makubwa sana wazawa tusibweteke kwa kutaka kurundikana kwenye miji mikubwa.
 
Back
Top Bottom