munyakwiringa
Member
- Apr 14, 2015
- 65
- 8
Sehemu nzuri sana na hasa kwa mtu mwenye ubongo Mpana kifikra atapiga pesa Mie nilienda mwakajana nimenunua mashamba kwa bei Ya kutupa vijana wa kenya wamejaa huko wanamaeneo makubwa sana wazawa tusibweteke kwa kutaka kurundikana kwenye miji mikubwa.
😄usihofu ndugu maisha ni popote