MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

mkuu karibu chunya,shughuri za kiuchumi ni kilimo na uchimbaji wa madini,maeneo mengine ni uvuvi,nauli ya kutoka town ni sh. 4000 mpaka makao makuu ya wilaya.je unaenda kijiji gan.?kuna vijiji vingine vingi vipo umbali mrefu kutoka makao makuu ya wilaya.ndugu chunya ni kubwa sana
 
Wapendwa,,kwa neema ya Mungu ajira amazo wengi wetu tumekuwa tukizisubiri zimetoka sasa..Mimi ni mmoja wao waliopangwa kwenye wilaya hiyo inayoitwa Moshi Dc mahali ambapo sikuwaza kuwa nitaenda katika uhai wangu hata siku moja ila ndo hivyo sina jinsi..Ukiondoa taarifa ya kuwa Kilimanjaro ni mkoa wenye baridi sina taarifa yoyote ile ambayo inaweza kuwa msaada kwangu mimi..Tafadhali,mwenye kuijua vizuri hiyo sehemu anielekeze vizuri..Pamoja na hayo,wale waliopangwa Lindi Mjini au Mtwara Mjini na ungependa urudi kwenu Moshi,waweza wasiliana nami maan kwa kweli afya yangu hairuhusu kuishi sehemu yenye baridi..Niwatakie wakati mwema..



karibu moshi dc mdau mi mwenyew nko moshi dc but cjajuta kupangwa hapa aisee report kwanza endapo hutapapenda pale halmashauri kuna matangazo kibaooooo watu wanaomba badilishana utapata wengi tena lindi mtwara waje moshi. loooo
 
aisee kumbe walimu humu ni wengi!!! sasa ndugu zangu huko mkafundishe kweli sio muanze chengachenga ooo migomo sijui nini msidamganywe na wemyeji wenu mtakaowakuta huko mashuleni
 
naombeni kupata detail ya shule ya itumba huku ileje mbeya umbali ilipo kutoka wilayani huduma muhimu kama maji na umeme na gharama ya sehemu za kufika(GH)
 
Wana jf kwa wale waliopangwa wilaya ya rungwe mkoa wa mbeya tuonane PM nipo tayari kuwapokea haijalishi jinsia me ni mwalimu na mzawa wa wilaya hii
 
Wapendwa,,kwa neema ya Mungu ajira amazo wengi wetu tumekuwa tukizisubiri zimetoka sasa..Mimi ni mmoja wao waliopangwa kwenye wilaya hiyo inayoitwa Moshi Dc mahali ambapo sikuwaza kuwa nitaenda katika uhai wangu hata siku moja ila ndo hivyo sina jinsi..Ukiondoa taarifa ya kuwa Kilimanjaro ni mkoa wenye baridi sina taarifa yoyote ile ambayo inaweza kuwa msaada kwangu mimi..Tafadhali,mwenye kuijua vizuri hiyo sehemu anielekeze vizuri..Pamoja na hayo,wale waliopangwa Lindi Mjini au Mtwara Mjini na ungependa urudi kwenu Moshi,waweza wasiliana nami maan kwa kweli afya yangu hairuhusu kuishi sehemu yenye baridi..Niwatakie wakati mwema..

tubadilishane uende KATAVI mimi niende moshi
 
Jamani inamaana humu hamna mwenzng tuliopangwa wote Rufiji mkoa wa Pwani,
Naombeni maelezo kidogo kuhusu wilaya hii mm nipo tegeta Dar,
Asanteni
 
Hello wana jamii forum napenda kujua zaidi kuhusu shinyanga dc nimepangiwa huko kufundisha kama kuna mwenye information kuhusu eneo hili itakayo nisaidia aniambie plz

Shukran wote

Ni Wilaya inayozunguka Shinyanga Mjini, makao makuu yako Shinyanga Mjini. Kwa ujumla ni kuzuri Wasukuma ni wakarimu na wanaheshimu sana walimu. Hata ukikopa dukani anakudai kwa heshima! Pia no wilaya yenye shule nzuri. Maeneo mazuri ni Tinde, Iselamagaz, Solwa, Samuye, Usanda. Hata kwingine unasurvive
 
Jamani inamaana humu hamna mwenzng tuliopangwa wote Rufiji mkoa wa Pwani,
Naombeni maelezo kidogo kuhusu wilaya hii mm nipo tegeta Dar,
Asanteni

Mimi hapa mkuu nimepangiwa rufiji na sijui chochote kuhusu huku labda tungoje wadauu
 
Umeme na maji vp?

Umeme Uko na Gari hadi USA au mainroad ni nyingi Wilaya ya Meru inaanzia Mto Nduruma km ka 9 hivi toka Arusha kwenye barabara kuu ya Arusha Moshi. Mjini Vituo Vikubwa ni Sanx, Tenderu, Makumira, Legaganga(ambapo ni makao ya Wilaya) kuna USA, Njia Ngurdoto, Maji ya Chai, Kikatiti, Kingo'ori ambapo ni mpakani na Kia (mkoa wa Kilimanjaro). Hivyo vituo niluvotaja ndo kuna njia za kwenda huko interior na barabara almost ni nzuri upande wa Kusini imepakana na Mererani upande wa kaskazini ni hadi mlima Meru na Arusha National Park na kiukweli eneo la Kaskazini ni kuzuri zaidi
NB. Kuna sehemu maji ni ya fluoride mnanuna ya mto Ngurdoto maeneo hayo ni Maji ya Chai, Imbaseni, Ngongongare, Ngurdoto
 
Vijiji vyake vipoje?

Wameru ni wajuaji na watata! Kukupasua ni dakika sifuri sehemu almost ni nzuri na uwezo wa kufika mainroad ni mkubwa na si mbali. Maji sehemu nyingi wamechimba visima. Na umeme si vijiji vyote na shule nyingi ziko kwenye vicentre
 
Back
Top Bottom