nawaona tu mnacfia ata hamtoi ubaya wa baadh ya maeneo, et hakuna vijij vilvo mbal na mjin, kweel? bro angu anafundsha nyasa lake shore sec ipo matema ni beach kabsa ila nyumba za kupanga zenye umeme ni chache sn na mboga ukchelewa kununua ambazo ni samak kwa wing kuanzia asbh ad sa5 asbh ndo hupat mboga zaid ya mayai ya kisasa, af ni sehem ya utalii ko samak wazur wote bei juu ukilngansha na kyela mjin, ukpata kyela mjin baba hutajuta ila ka kijjn cdhan, mpiganaj hachagui pori kapge kaz, mi zang bunda mara ka kuna m2 anaijua afunguke