punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Mkuu usiye na matatizo ya kuelewa, nimekubaliana na wewe kuwa ANGEWEKA KUANZISHA TV KWENYE VIPAUMBELE VYAKE ILI WABONGO TUFAIDI, hutaki tena??? Halafu punguza hasira ili uone vizuri, hakuna mahali nimesema kajenga reli ya kati... Mimi ni mmoja wa watu ambao hawaungi mkono hiyo 'mila' ya mwenge, pia sitegemei kwamba nipendezwe na misimamo yake %100, lkn hiyo hainifanyi nimuone mwenye mawazo finyu .wewe kweli una matatizo ya kuelewanimeainisha hapo faida za tv nyingi mpaka mashuleni zinatumikakama zanzibar waliweza kuwa na tv miaka hiyowe unafikiri tanganyika ingeshindikana vipi????vipaumbele vingeathiri vipi hilo?au kipaumbele cha kuchangisha watu pesa za mbio za mwenge we ndo unaona cha maana??????mnamsifia nyerere hata sifa ambazo sio zakeeti alijenga reli ya kati,na wakoloni waliacha reli ipi?????kusema tv ni anasana magari ni anasanamatrekta ni anasa ni mawazo finyu mnoperiod
wewe ni mwongo mkubwa, kwanza toka lini mtu akalazimishwa kupendwa na watu wakampenda? haina mantiki kabisa, ila walikuwepo wasiompenda kwa sababu zao binafsi au kwa kutofautiana mitazamo na walikuwa wachache na uache uongo wako kusema walikuwa wengi, nadhani ulishuhudia kipindi cha kung'atuka kwake jinsi watu wengi walivyomuaga kwa zawadi mbalimbali, je walilazimishwa? na vipi alipofariki uliona umati wa watu waliojawa na majonzi? taifa lilizizima, je walilazimishwa? acha hizo ndugu yangu hicho ni kisokolokwinyo chako tu! halafu una uhakika hao waliotaka kumpindua ndo waliokuwa wanapendwa na wengi au ni tamaa zao za madaraka!?Kwanza unakosea unaposema watu wengi walimpenda sana. Naomba kukufahamisha kuwa mimi nilikuwepo kabla, alipokuwepo, na baada yake. Nyerere hakupendwa na wengi kama unavyotakiwa kufikiria, Nyerere alilazimisha kupendwa, ukionesha kumpinga unapotezwa au unaswekwa ndani. Nyerere kisha koswa kupinduliwa mara nyingi tu kuliko Rais mwingine yoyote wa Tanzania.Mengine hayo utajaza mwenyewe.
sijakutukana babu najaribu kukuelewesha...the realities most of us we are fully of incorrect facts
umeona ulivyo finyu na wewe????????
kila anaepewa standing ovation ana mawazo sahihi sio???????
na kila anaekaribishwa white house je????????
we uliona ziara ya mobutu marekani???????
umewahi ona standing ovation za madikteta wengi tu?
hivi unajua hata iddi amin aliwahi kuwa mwenyekiti wa oau??????
manake nyinyi mnawa brain wash watoto eti
nyerere alikuwa mwenyekiti wa oau
ha ha haaa,so what???????hata mobutu na iddi amini aliwahi kuwa
wenyeviti wa oau.
acha hasira babu neno uduanzi siyo baya namna hiyoo niite mie basi...Unapozungumzia historia ya nchi hii kila mmoja anaitazama kutokea katika "angle" tofauti na mwenzake, ndio maana tunajadili ili tufike mahali tukubaliane kukubaliana ama tukubaliane kutokubaliana.
Sasa ndugu yangu unajua hapa tunajaribu kueleweshana na vilevile kubadilishana uzoefu wa historia ya nchi yetu, sioni mantiki ya kutumia maneno ya dharau wakati tumekuwa tukijadiliana kiungwana tangu mwanzo.
I wouldn't be surprised if u have never seen the speech. I can feel how light u are and if u are a Manchurian candidate, there is nothing i can do 2 help. About Mobutu's visit to USA, that is a rhetorical question, as well as Idd Amin. Who put Mobutu in power? Who killed P.Lumumba?
Naona unajitahidi kujinasibisha na geza ulole kwa kasi sana.
Rudi kule ukatetee utumbo wako, achana na geza ulole tunakwenda naye vizuri ili kufahamisha na kubadilishana uzoefu na uelewa sio wewe kila saa kurukia ncha ya mkuki wa geza ulole!!
Mwita Maranya said:Tukumbuke kwamba shule hizi tunazozitaja zimejengwa na wakoloni hata kama tutawaita wamishenari, lengo alo kubwa lilikuwa ni moja tu, kutafuta mbinu bora ya kututawala na kwa msaada wa sisi wenyewe weusi.
Sweke,Nyerere alifanya mambo mengi mazuri especially kwenye issue ya usawa ila lazima tukubali kwamba alikuwa na vi elements vya udikteta. Aliminya sana uhuru wa kutoa/kupata habari ingawa yeye mwenyewe alikuwa na Runinga ikulu!!
Hauwezi ku justify altaka marais watoke kwenye makabila madogomadogo tu eti kwa sababu marais karibu wote wametoka kwenye makabila madogo!!
Habari zenu jamani?!
Naomba nianze kwa kusema ukweli kwamba mimi sikuwepo kipindi cha utawala wa Mwl na hata alipofariki nilikua mdogo sana hivyo sikuwahi kujua kwanini watu wengi walikua wanampenda sana huku bado kukiwa na mambo mengi hasi yanayosemwa juu yake.Nafurahi kwamba mwaka huu nimeweza kutumia muda wangu kiasi nikasoma vitabu kadhaa kumhusu...makusanyo ya hotuba zake pamoja na vitabu alivyoandika mwenyewe.Kutokana na niliyoyasoma niliridhika kwamba sifa zote anastahili...pia kukosolewa maana yeye kama mtu mwingine yeyote yule makosa hatuwezi tuyakwepa.
Katika vitu ambavyo Mwl alivisimamia haswa ni usawa.Hakutaka kabila moja lijione/jisikie liko juu ya jingine na kutengeneza matabaka.Sasa swali langu nnaloomba mnisaidie ni hili....ule msemo au sijui niyaite madai ya kwamba Mwl aliwahi kusema makabila fulani hayafai kupewa uongozi wa juu wa nchi ni wa kweli au ni propaganda za waliomchukia?!Nauliza hivi kwasababu niliyoyasoma juu yake hayaendani kabisa na madai haya...na wala haileti maana kusikia kwamba aliyepigania usawa ndie aliyekua wa kwanza kutengeneza matabaka lilipokuja swala la uongozi!!!
Naomba majibu kama yapo yawe na vielelezo na yasiwe maneno ya kusikika na kufikirika tu ili tusiojua tujifunze kitu.
Asanteni!
Hapo pia umeteleza. Katika njama za mapinduzi za mwaka 1970 alikuwemo mwanajeshi Marwa aliyehusishwa na njama hizo. Jaribu kingine.una tatizo kubwa sana
kuthibitisha nyerere alikuwa mkabila hukuti mtu mwenye jina
la mwita akimpinga nyerere
soma vizuri mwanzo wa thread
alieanzisha topic ya vyama vya ushirika hapa ni mimi
gezaulole alikuja kuongezea data
sasa usijiabishe kwa kuropoka ropoka
Geza Ulole,hakuna kitu kama hicho aliweka Wakurya kumlinda madarakani ukiangalia vizuri kabola Wazanaki ni la kufikirika yaani ni sehemu ya Wakurya!
ina maana unataka kusema ikulu nzima haikuwa na Dish kuangalia newz kama BBC? siamini! alikuwa anapata wapi habari za nje?Sweke,
Nyerere hakuwa na runinga ikulu. Siku hizo hata ungekuwa na tv ungekuwa unatizama nini? TV Zanzibar? Ila mwaka 1977 baada ya ziara yake rasmi Marekani kuzungumzia harakati za ukombozi Rhodesia, Mzee Bomani alimnunulia video player pamoja na TV yake ili aweze kuona video mbalimbali ambazo ubalozi wa Tanzania Washington DC uliweza kumtumia. Nadhani hiyo ndiyo imepelekea watu kusema Nyerere alikuwa na tv ikulu. Ilikuwa ni TV ya kuangalia video. That is a fact.
Geza Ulole,well nakuelewa sasa baada ya kuyapinga, then kwanini aliua vyama vyao vya ushirika through nationalization ambavyo ni jasho lao yaani KNCU na KCU?
Mkuu joka kuu, ngoja namimi niulize hivi serikali ya kikoloni iliyokuwepo ukianza na ya wajerumani halafu waingereza ilijenga shule zipi?Mwita Maranya,
..kwani hizo shule na hospitali alizotaifisha resources zilitoka wapi?
..pia matatizo kama hayo yanahitaji mikakati endelevu kuyatatua.
..nimeeleza ktk post yangu iliyopita kwamba vilikuwepo vyanzo mbalimbali ya mapato kwa serikali lakini tulivivuruga kutokana na sera zetu kama Azimio la Arusha na operesheni vijiji.
..alichopaswa Mwalimu ni kuongeza vyanzo vipya vya mapato, siyo kwenda kuvuruga vile ambacho tayari vilikuwepo.
..
kuna kitu kinaitwa kinship ni sawa leo hii Mbowe awe Rais halafu jeshini ajaze Wameru, Waarusha na Wamasai halafu aseme hatushaabiani au si jamaa! still utaona kuna sort of nepotism maana hizi jamii ziko karibu zaidi kuanzia kimila hata tamaduni! nathani unapata gist ya nilichomaanisha! Mbona asijaze Wanzanzibari jeshini?Geza Ulole,
Hapana. Wazanaki si sehemu ya Wakurya. Wazanaki walitoka Rwanda/ Burundi wakati Wakurya inasemekana wametokea Ethiopia. Lakini hii ya kuwa na Wakurya wengi jeshini na Wanyakyusa haikutengenezwa na Mwalimu. Ilianzia enzi za KAR.
Anko Sam,kumbe helewi kitu wewe uliza tukwambie, Nyerere aliona ili kuua nguvu ya vyama vya ushirika kama VFCU, ilibidi awatenge viongozi wa vyama hivyo na chama chenyewe, alimchukua Bomani na kumpeleka Dar kuwa waziri wa Ushirika na Kilimo, akalazimisha kila eneo la kazi lazima kuwe na tawi la TANU! Akachukua vimwana-TANU viherehere toka vitokako akaviweka kila mahali kuwa vikatibu vya hayo matawi, na mameneja wa maeneo hayo kuwa wenyeviti.
Hapo ndipo siasa ilipo ingilia nyanja ya uzalishaji. Wale makatibu wa matawi ya TANU wakawa ni watendaji wakuu na ndipo Chama Kushika Hatamu ikatangazwa rasmi. Pesa zikawa zinachotwa toka viwandani na kwenye vyama vya ushirika na kupelekwa TANU/CCM. Wanasiasa wakatamalaki kila upande na uzalishaji viwandani ukazorota na mashirika mengi kufa.
Bomani kwa kujua ama kutokujua lengo la Mwl. lilikuwa ni kummaliza nguvu za umaarufu, alikubaliana na mawazo ya Mwl. akasahau na kwao, akenda kuoa huko huko viongozi wengi wapuuzi wasipenda kwao wanako-oa! CCM ikavuruga uchumi wa nchi, ilipo ona mashirika mengi yamekufa ikaanzisha shirika lake la uchumi, weeh kwa vile walizoea kula bila kuzalisha halikuchukua round wakalikomba pyuuu! CCM ikauza mashirika yaliyokufa ili wapate pesa, walipoyamaliza wakaingilia BOT, wakalamba kwa style ya EPA. Historia ni ndefu, naomba kuwasilisha!
Na wewe umefunguliwa lini? Nitakata rufaa kwa mods urejeshwe lupango!Hee babu lile, waislaam kawanyanyasa sana, kumbe hata makabila mengine alikuwa anayanyanyasa? ndio maana ile hotuba yake moja anawasannif wakara? mungu amuweke anapostahili.