Mwalimu Nyerere na mama yake

Mwalimu Nyerere na mama yake

Asante kwa simulizi hii ya Bibi Mugaya, haya ndio mambo mimi ninayomtafutia Madaraka, to preserve some rhetorics za Mwalimu za simulizi ziwe digitized for preservation kwa vizazi vijavyo.

It's good to know watoto wa Mwalimu ,baba na mama ni kabila moja halafu bado watoto hawajui kuongea kiluga chao!.

P
Hapana Mama Maria sio mzanaki,ni mtu wa kinesi
 
Even now The Vatican is engaged in internal debate,kuhusu kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa mtakatifu.

And yet what have we got here? In the Bible tunaona Kuhani Mkuu once a year anakwenda kwenye madhabahu in the Holy of Holies. Anaungama dhambi zake. Pia anaungama dhambi za congregation.

Kumbe ni sawa kama mimi pia ambaye ni mkubwa wa Familia ya Nyerere nikiungama dhambi zangu na dhambi za familia.

Some time ago kijijini kule tulifanya Mkutano wa familia,there was a lot of excitement,na consensus pale ilikuwa watu wengine pale katika familia ni wajeuri na wanapaswa kupigwa bakora and actually watu walipigwa bakora pale.

Kwa hiyo it is a joke kusema kwamba mimi naandika vitu public,ati naandika mambo ya uongo kuhusu familia na jana watu wametoka outright,wametamka outright kwamba they want to kill me,thus furnishing proof kwamba niliposema nataka kutoka kwenye familia ya Nyerere I was quite correct.

Sasa ni hivi: tunasema the High Priest will confess his sins and the sins of the congregation. Better to say the sins of the whole community,Kwa sababu,"congregation" means ten people and here we are talking of more than ten people.

Matatizo mengi yanatokea hapa katika familia ambayo yangezuiwa yasitokee hata hizo ruzuku za serikali tusingezihitaji.

1.Drunken behavior.
2.Youth disrespecting elders
 
Waliofuatia walikatazwa kubadili huo mfumo , ili wakamilishe Kwa kuwa wao walikuwa na foresight
Watabadilishaje mfumo na wakati wao ni zao la mfumo unaowanufaisha wachache?HUYO Nyerere amefariki 1999, mfumo wa vyama vingi vya Siasa umekuja 1992 na bado HUYO mzee wenu hakuona umuhimu WA kuwapa wananchi katiba mpya itakayowapa UHURU WA kuchagua VIONGOZI wanaotaka na sio wanaopendekezwa na CCM..Mind you Mwinyi amekua raisi baadae ya Nyerere Katika mfumo wa chama kimoja mpaka alipoondoka madarakani..HUYO mzee wenu ni overrated na ndio chimbuko la uovu wote huu WA CCM..wanaotaka kubadili mfumo NI WENGI mno Na hata enzi za uhai wake huyohuyo Nyerere aliwasweka ndani ,kama ilivyo Leo Kwa wakina lissu ..He is overrated and narcissistic, had nothing special
 
Watabadilishaje mfumo na wakati wao ni zao la mfumo unaowanufaisha wachache?HUYO Nyerere amefariki 1999, mfumo wa vyama vingi vya Siasa umekuja 1992 na bado HUYO mzee wenu hakuona umuhimu WA kuwapa wananchi katiba mpya itakayowapa UHURU WA kuchagua VIONGOZI wanaotaka na sio wanaopendekezwa na CCM..Mind you Mwinyi amekua raisi baadae ya Nyerere Katika mfumo wa chama kimoja mpaka alipoondoka madarakani..HUYO mzee wenu ni overrated na ndio chimbuko la uovu wote huu WA CCM..wanaotaka kubadili mfumo NI WENGI mno Na hata enzi za uhai wake huyohuyo Nyerere aliwasweka ndani ,kama ilivyo Leo Kwa wakina lissu ..He is overrated and narcissistic, had nothing special
He never killed hundreds of people as they have done and still doing.
 
Crystal ni madini yoyote ya vito, ambayo yamejipanga kwa strata, hata ulanga ni crystal, hata chumvi ya mawe , chumvi na sukari ni crystal, hata stalactites na stalagmites ni crystals, kwa sisi watu wa meditation, crystals zinatumika for holistic and wellness for meditation na japo vito vingi hutumika as decorative items lakini pia huleta positive energy vikitumiwa vizuri na majanga vikitumiwa vibaya!, mimi wakati naoa nikiwa kijana na jeuri ya pesa, nikamvisha mtu engegment ring ya diamond, masikini mimi sikujua kuwa kumbe sio kila mtu anajivalia tuu diamonds kwasababu anaweza ku afford, akivaa diamond, ni majanga!.
P
Mzee na wewe ni mtu wa Meditation?Umeweza Ku access astral plane? Kupitia third eye?
 
Ni kawaida ya Zile Akili kubwa zikikosa majukumu na nyadhifa zinazohitaji Akili kubwa huwa hizo Akili kubwa zinapataga mitikisiko ya hapa na pale !
Na wenye uwezo wa kugundua hiyo syndrome huwa tena ni wale wale wengine wenye AKILI KUBWA 😳 !
 
Mwamba yuko smart, lugha ngumu kutumia. Hadhira twapoteana, yeye twamuita mlevi.
Yeye aita Tz familia ya Nyerere, wajinga wakomaa na famia ya Nyerere.
Kwahyo unataka kusema kwa tafsiri ya akili yangu ndogo alimaaanisha hivi
""Mashirika ya kimataifa kama UN au ICC kwa sasa yanajadili kama viongozi wa kisiasa wa Tanzania wanapaswa kuheshimiwa au kutolewa kama mifano ya maadili.

Lakini nini kinatokea ndani ya nchi? Kama Kuhani Mkuu anavyokiri dhambi zake na dhambi za watu, kiongozi wa sasa anapaswa pia kukiri makosa yake na makosa ya taifa.

Sio muda mrefu uliopita, kulikuwa na mkutano mkubwa wa kisiasa. Kulikuwa na mvutano mkubwa, na uamuzi ulikuwa kwamba baadhi ya watu katika kundi tawala ni hatari na wanapaswa kunyamazishwa au kuadhibiwa — na kwa kweli walishambuliwa.

Kwa hiyo ni unafiki kusema kwamba mimi ninaeneza uwongo kuhusu serikali kwa sababu tu nazungumza hadharani. Jana, watu wenye mamlaka walitamka waziwazi kwamba wanataka kuniua. Hiyo inathibitisha kwamba nilikuwa sahihi niliposema nataka kujitenga na mfumo huu wa kisiasa.
Matatizo mengi yanayotokea ni hapa nchini ya uwezo wa kutatulika ikiwa serikali ingesimamia rasilimali vizuri na hata hizo misaada ya kimataifa tusingeihitaji""

---

Maana ya alama (symbols) kwa Kiswahili:

Neno la msimbo Maana halisi
Vatican / UN / ICC Mashirika ya kimataifa yanayoiangalia Tanzania
Viongozi wa kisiasa wa Tanzania Watawala, viongozi wa zamani na wa sasa
Familia ya Nyerere Mfumo wa kisiasa / chama tawala
Kuhani Mkuu Rais au kiongozi mkuu wa sasa
Mkutano wa familia Mkutano wa kisiasa au wa serikali
Kukiri dhambi Kukubali makosa, rushwa, au dhuluma za serikali
Kupigwa bakora Ukandamizaji wa kisiasa, vitisho, au unyanyasaji
Kujitenga na familia Kujiondoa kwenye chama tawala au mfumo wa kisiasa
Kutishwa kuuawa Vitisho vya kweli vya mauaji kutoka kwa wapinzani wa kisiasa
 
Kumbe ni sawa kama mimi pia ambaye ni mkubwa wa Familia ya Nyerere nikiungama dhambi zangu na dhambi za familia.
Naunga mkono hoja, siku zote, the first born ndio huwa the chosen one anayebeba hatima ya familia, lakini Mungu huweza kumchagua mtoto mwingine yeyote ndie akawa the chosen one, hata Isaka sio mzaliwa wa kwanza wa Nabii Ibrahim, mzaliwa wa kwanza ni Ishamel, lakini Isaka ndie aliyebeba hatma ya ukoo. Hata kwa Isaka, mzaliwa wa kwanza ni Essau, na sio Yakobo, likapigwa bao la mkono, Yakobo akabeba hatma. Hata kwa Yakobo mzaliwa wa kwanza ni Yuda, lakini aliyebeba hatma ya familia ni Yusufu. Hata kwa familia ya Burito, japo haisemwi popote, kuhusu watoto wengine wa Chief Burito, ila Mugaya ndie alikuwa mke mdogo kati ya wake 22 officials, pia Makongoro aliwahi kutaja idadi ya concubines wa babu yako, mimi niliwahi kuuliza humu, Baba Mzazi wa Mwalimu Nyerere, Chief Burito alioa wake 22. Je, alikuwa na Watoto Wangapi? japo sikupata majibu yoyote straight, lakini Julius hakuwa mtoto wa kwanza wa Chief Burito, lakini ndie the chosen one aliyebeba hatima. Nyerere akitangazwa Mtakatifu, nyie watoto wake wote mnatakasika na utakatifu wa baba yenu, mtu akiokolewa anaokolewa na uzao wake wote, hivyo hata wewe, japo ni ni first born, lakini hatima ya familia ya Nyerere, haiko mabegani kwako, ila sasa at 73, just rejoice, nafasi yako peponi is already secured, uungame usiungame ni umetakasika.
Kwa hiyo it is a joke kusema kwamba mimi naandika vitu public, ati naandika mambo ya uongo kuhusu familia
Ni kweli unaandika public baadhi ya vitu vya family ambayo they should have been private family matters, hakuna aliyesema unaandika vitu vya uongo, bali vitu vingine unavyoandika ni vitu vya kufikirika tuu, imagination, they don't exist in reality, na mfono mzuri ni nilipokuambia kuwa mimi namtafuta Madaraka kwa issue yangu fulani, ulichofanya ni kunianzishia uzi
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Poppy Poppy Hatonn , nilikuambia nitamtafuta Madaraka kwa issue nyingine kabisa wala haikuhusu wewe!.
Ila kwa vile wewe pia mimi nakujua, ndipo nikasema nitakutafuta kwasababu naijua hali yako, na lengo la mimi kukutafuta ni kukusaidia wewe na sio kama ulichosema hapa.
Pascal Mayalla anasema kwamba , with a smile on his face, atawatafuta familia yangu,,atawashauri kwamba mimi ni dangerous lunatic, lazima nipelekwe mental hospital.
Haya nimeyasemea wapi?, kumlisha mtu maneno ambayo hajayasema ni uzushi.
Na,anawaonya familia yangu,he will not take " no" for answer.
Mimi ni nani na kwa uwezo gani kuwaonya The First Family most respected in Tanzania?!
Kwa sababu kama wakikataa suggestion yake, he will arrest them all.
Yaani mimi ni chombo cha dola au mamlaka to arrest?, mimi sio polisi, sio dola, siwezi kumuarrest mtu yoyote,
na actually watu wametoka outright, wametsmka outright kwamba they want to kill me, thus furnishing proof kwamba niliposema nataka kutoka kwenye familia ya Nyerere I was quite correct.
Hii japo ni family matter, kama ni kweli wametishia to kill you, then its a police case, unapaswa uripoti kunakohusika.
Matatizo mengi yanatokea hapa katika familia ambayo yangezuiwa yasitokee hata hizo ruzuku za serikali tusingezihitaji.
Kwa hili nakuunga mkono, yaani hata tuu hiyo makumbusho ya Nyerere ingefanyika marketing, watalii wangefurika, na akiisha tangazwa Mtakatifu, the pilgrimage multitudes kwenye kwenye kaburi lake, izijengwe hoteli tatu hapo za 5 star, 3 star na 1 star, muwekewe air strip, take it from me the traffic will sustain the family and all the prince and princess would live the royal life.

P
 
Mzee na wewe ni mtu wa Meditation?Umeweza Ku access astral plane? Kupitia third eye?
Mimi sio mtu wa meditation, ni Mkirsto Mkatoliki, ila wakati nikiishi New Dhehli nilisoma falsafa ya Buddhism ya Hindu na Tibet kwa Dalai Lama nikaandika humu, japo naandika sana lakini si practice mambo ya astral wala opening third eye, ila hilo jicho ninalo kupitia the voices from within na huo uwezo kila mtu anao sio lazima kupitia meditation.
Nimeandika sana humu haya mambo
P
 
Back
Top Bottom