Mwalimu Nyerere na mama yake

Hi kesi sasa imeshakuwa ngumu aitwe Steve Nyerere naye atoe maoni yake.
 
Kwahiyo wanataka wakupeleke wapi wakisha naku arrest?
Usiamini kila kitu asemacho huyu kaka yetu mkubwa, hata mimi hapa juzi kati, alinituhumu eti nimemtishia kumu arrest,
Hali ilikuwa hivi
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Poppy Poppy Hatonn
kwa vile wewe mimi nakujua, na naijua hali yako, lengo la mimi kukutafuta ni kukusaidia tuu
Pascal Mayalla anasema kwamba , with a smile on his face,atawatafuta familia yangu,,atawashauri kwamba mimi ni dangerous lunatic, lazima nipelekwe mental hospital.
Haya nimeyasemea wapi?
Na,anawaonya familia yangu,he will not take " no" for answer.
Mimi ni nani na kwa uwezo gani kuwaonya The First Family most respected in Tanzania?
Kwa sababu kama wakikataa suggestion yake,he will arrest them all.
Yaani mimi ni chombo cha dola au mamlaka to arrest?
hatimaye lile bandiko mode wakaliona na kumsaidia kaka yetu!, kiukweli JF modes wanasaidia sana!.
P
 
Wewe kisukuma kinapanda?🀣🀣
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Hakuna kibaka atanidhuru kwa sababu nimemwita kibaka.

Kama hataki nimwite kibaka aache kuwa kibaka.

Commander Hatonn anasema let us work according to the laws of God and the laws of the politicians.
Anasema even the most evil ruler on Earth will change to Good if you keep on insisting on your rights.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…