Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,913
- 6,524
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo maneno kama haya yanachochea fitina.Huyu mzee wamnyanganye simu sasa maana vitu anaandika sio kabisa.
Hi kesi sasa imeshakuwa ngumu aitwe Steve Nyerere naye atoe maoni yake.Bibi Mgaya ndiye alikuwa mama yake Mwalimu Nyerere, na mara nyingi alikuwa anaongea naye.
Na sisi familia, kwa kweli hatufahamu kizanaki. Na mimi hata leo Wazanaki wanaweza kuongea hapa mbele yangu nisijue wanaongea nini
Na hili jambo lilikuwa linamshangaza Mwalimu. Anasema," Hawa watoto kweli ndio wa Tanzania ya leo. Yaani hata Kizanaki hawajui.
Lakini ingawa hatujui Kizanaki ilikuwa tunaelewa Bibi Mgaya anaongea nini. Bibi Mgaya alikuwa anamgombeza Mwalimu ( " kugombeza",nadhani ndio the correct word here). Anamwambia, "Tatizo lako huna foresight. Huwezi kufikiri kwamba nikifanya hivi, matokeo yatakuwa haya."
Kwa hiyo ataongea namna hii, maybe for half an hour, Mwalimu amesimama, anasikiliza attentively.
Mara nyingi, countless times, tumemsikia Bibi Mgaya anamwambia Mwalimu "Kwa nini huna foresight katika maamuzi yako?"
The reason why I say this ni kwa sababu nimefika juzi kutoka Butiama, na naona kwamba mimi pia sina foresight katika mambo ninayosema na kufanya. I ask myself why is this so?
Au ni kwa sababu I forgot to take the massive rock crystal.
Yes, dear reader, I have this massive rock crystal, katika pilika pilika za safari,I forgot it there.
Crystal, ni kama divining stone.
I am sure you have noticed, wapo " manabii" wengi sana. Wanasema,"Mwezi ujao balaa itatokea." I think you have noticed kwamba 99.9 per cent of the time,they are just speaking lies. It is because they don't have a crystal ball. Nawashauri watafute crystal ( ulanga) .
Na Ile crystal sijui niliisahau vipi. Na kama niliisahau, Ina maana nikienda nitaikuta ipo pale.
Kwa vipi? Tume achieve kitu gani toka alipong'atuka?Mwalimu hakua na foresight kwa hakika..yule mzee amelifelisha sanaa taifa kwa sera zake za ujamaa na siasa za kuogopa dola
Usiamini kila kitu asemacho huyu kaka yetu mkubwa, hata mimi hapa juzi kati, alinituhumu eti nimemtishia kumu arrest,Kwahiyo wanataka wakupeleke wapi wakisha naku arrest?
Poppy Poppy HatonnPascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Haya nimeyasemea wapi?Pascal Mayalla anasema kwamba , with a smile on his face,atawatafuta familia yangu,,atawashauri kwamba mimi ni dangerous lunatic, lazima nipelekwe mental hospital.
Mimi ni nani na kwa uwezo gani kuwaonya The First Family most respected in Tanzania?Na,anawaonya familia yangu,he will not take " no" for answer.
Yaani mimi ni chombo cha dola au mamlaka to arrest?Kwa sababu kama wakikataa suggestion yake,he will arrest them all.
Name calling inakuhusuHuyu ni ANDREW NYERERE.
Wewe kisukuma kinapanda?π€£π€£Asante kwa simulizi hii ya Bibi Mugaya, haya ndio mambo mimi ninayomtafutia Madaraka, to preserve some rhetorics za Mwalimu za fashion simulizi ziwe digitized for preservation kwa vizazi vijavyo.
It's good to know watoto wa Mwalimu ,baba na mama ni kabila moja halafu bado watoto hawajui kuongea kiluga chao!.
P
Unataka uachieve nin na wakati mfumo uleule mbovu aliouacha huyu mzee wenu ndio unaendelea kutumika??Kwa vipi? Tume achieve kitu gani toka alipong'atuka?
Amandla...
Crystal ball ? used reflective stones and crystals to seek hidden wisdom.Hii rock crystal sidhani kama nimeitafsiri sawa.
Kwa sababu ulanga ni kitu ambachi kinanyofoka,kinabanduka.
Lakini rock crystal ni jiwe.
Kwa hiyo hatuja achieve lolote?Unataka uachieve nin na wakati mfumo uleule mbovu aliouacha huyu mzee wenu ndio unaendelea kutumika??
Tulia weweππHuyu mzee wamnyanganye simu sasa maana vitu anaandika sio kabisa.
πππUsiamini kila kitu asemacho huyu kaka yetu mkubwa, hata mimi hapa juzi kati, alinituhumu eti nimemtishia kumu arrest,
Hali ilikuwa hivi
Poppy Poppy Hatonn
kwa vile wewe mimi nakujua, na naijua hali yako, lengo la mimi kukutafuta ni kukusaidia tuu
Haya nimeyasemea wapi?
Mimi ni nani na kwa uwezo gani kuwaonya The First Family most respected in Tanzania?
Yaani mimi ni chombo cha dola au mamlaka to arrest?
hatimaye lile bandiko mode wakaliona na kumsaidia kaka yetu!, kiukweli JF modes wanasaidia sana!.
P
Yuko correctly he use crystal languageHuyu mzee wamnyanganye simu sasa maana vitu anaandika sio kabisa.
GangachumaCrystal ball ? used reflective stones and crystals to seek hidden wisdom.
Kasema hapo mwisho. Ulanga.Mkuu hiyo crystal inapatikana wapi? Na inatumika kufanyia nini