kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
......Lissu aliwahi kuzungumzia issue za majaji walioteuliwa na JK......ukisoma kw amakini utaona uchambuzi wake ulikuwa una walakini fulani.......washabiki wa siasa wakabaki kushangilia!!........nakubaliana na wewe kuwa ni muhimu tuwe makini na maneno yatolewayo na watu mbali mbali..........
Moja ya jambo ambalo limeijengea Sifa sana JF ni kutokana na baadhi ya wanachama wake kuwa na uchambuzi mahiri........Umaarufu wa JF....Ni utamaduni wa kuchambua.......siku hizi kumetokea wanasiasa wengi wanataka kuivuruga JF yetu hapa....i.e. hapa pumba zinawekwa mchana kweupe na mchele vivyo hivyo.....
Lissu hakuwa anaiwakilisha JF bali alikuwa anawakilisha maoni wa Wachache katika kamati yake kwa hiyo waliyoyaleta hapa JF ndio wanatakiwa watuletee uchambuzi wa kina ni katika maneno yapi au maandishi yepi yanayoonyesha LISSU amemtukana Nyerere (R.I.P) tofauti na hayo mtakuwa bado mnaimba ngonjera na hamjajibu kinachotakiwa kujibiwa na mleta mada.