Wengi wamekuwa wakiuliza kama kuna Mtanzania mwenye ujasiri wa kukataa uteuzi wa Rais.
Ukweli ni kwamba wapo na imepata kutokea kwa Mwalimu Mishael Muze ambaye alikataa uteuzi wa kuwa mkurugenzi wa maendeleo na kuendelea na kazi yake ya Mkuu wa Shule ya Sekondari Mwenge Mkoani Singida.
Kutokana na uamuzi wake huo Mwalimu Mishael Muze alipewa karipio kali na akapunguzwa mshahara. Pamoja na tukio hilo miaka michache baadae Mwalimu Muze aliteuliwa kuwa Kamishna wa Elimu Tanzania.
Historia ya Mtanzania huyu ambaye alitumikia kama mwalimu na mhadhiri wa vyuo mbalimbali Tanzania, Kenya, Uganda, Zimbabwe, na Marekani, unaweza kuisoma hapa chini.
Meet Dr. Mishael Muze - TAUS, Inc.
An educationist with passion to nurture young people and Adventist institutions in Africa By Ephraim Nkonya Introduction Same District has a heavy footprint of Adventism across Tanzania. The reason is simple –the first Adventist missionaries in Tanzania started their work in Same District. On...
tausinc.org
cc Saint Ivuga, Mpuretamu , Dingiswayo,
King'asti , SMU, Mtambuzi, Companero, Nguruvi3