bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,849
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Hahaha mpwa watoto wetu watasomaje na tutawekaje heshima bar na gesti?
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Mkwe wangu aliibiwa container la maziwa karudi nyuma kimaendeleo sasa namlea na yeye
wakuu sijaelewa,hii kuomba kibali kabla ya kuingiza meli inasaidia vipi vitu vyetu visiendelee kuibwa pale bandarini?
naona wengi mnaongelea "mirija" point yangu siyo hiyo, efficiency ya bandari popote duniani inategemea sana speed ya kuipokea meli kupakia/kupakua mizigo na kuondoka kwa upande mmoja na speed ya ku deliver mizigo kwa mteja kwa upande mwingine. kwa tpa kama stevedore company inahusika moja kwa moja na speed ya kuipokea meli kupakia/kupakua mizigo na kuondoka kwa meli bandarini. Sasa kama meli ziko nje na tayari zimeisha kamilisha paper work yote ya kuingia bandarini na kufanya kazi bandari iko wazi, yani hakuna meli ndani lakini meli haziingi kwa sababu kuna mkubwa mmoja wa wizara hajatoa go ahead, efficency itapatikana vipi? Nani atakubali alete meli yake dar es salaam, bandari ambayo akifika anakaa wiki nzima na zaidi nje bila kupakua mzigo wakati ana deadline ya kumeet kwenye bandari zingine? Hii beauracracy nini?
Anaua bandari anawaua wezi?
Na wabinafsi na wanaoona bandari shamba la bibi!
Mnalo mwaka huu lol!
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Afadhali mdau umejitokeza utusaidie, kwa hapa naona unawakilisha wenzako 'mnaolilia' kufanya kazi, sasa mbona kama mnatuangusha na huo ufanyaji kazi wenyewe?
Hebu tusaidieni wa-TZ wenzenu nasi tuwaeleweni na mwisho wa siku tuongee lugha moja. Kwani tatizo ni nini? Mbona kama hatuoni kile tunachotamani kiwe? Jamani, mpaka Kagame anaitamani bandari yetu aiendeshe! Hivi opportunity ya kuhudumia nchi zote land locked zinazotuzunguka haiwanyimi usingizi? Bandari peke yake si ingeweza kututoa jamani?
kaka wewe ndo mbumbumbu na sidhani kama hapa ni sehemu sahihi kwako. Mwache mh afanye kazi, aondoe wajinga wajinga kama wewe.Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.