Mwakyembe umechemka, acha kujing'ata ulimi.....

Watanzania kwa kuwa na negative trains of thought hamjambo.

Kwa hiyo kwa sababu hizo hapo juu usafiri wa treni wala usifikiriwe?
People love to live in their own boxes of thoughts!
Mkuu ukisafiri pamoja na elimu uliyojaaliwa, utagundua jinsi unavyo think out of that box. I am one of them
 
U stop this...!!!
are u comparing an Airplane with a train..?

U highlited RED showing that Mwakyembe hajafanya kitu ..??
Mangapi ww **** umewekea time & then yakatokea exactly a an airplane taxing to its take-off runway..!??

Tumeona reli za Dar zilivyotengenezwa, wametoa 2 weeks more kwa kumalizia minor issues & SUMATRA kutoa kibali...
Ila kila kitu kipo sawa any time kabla ya muda huo train itaanza kazi ya kusafirisha abiria Dar....

KLM wanaposema ndege itaruka saa 11:45 basi tegemea saa11:40 ndege itaanza kutembea tayari kuelekea njia ya kurukia. Haya ndio matarajio ya kizazi hiki. Kama kuna hitilafu, tutatangaziwa ndani ya muda wa kutosha kuwa ile ndege iliyokuwa iruke saa 11:45 sasa itaruka saa 12:45...hakuna longolongo.

Mwakyembe ulisema treni zako zitaanza 'kuruka' Oktoba. Sasa kwa akili ya haraka, kama hujataja tarehe sisi tunachukulia Oktoba mosi. Leo unasema, "Nipeni muda wa miezi sita ili muweze kuona sekta ya reli itakavyokua imekamilika nchini.... "Unataka kutuzuga kuwa sio Dar bali nchi nzima hivyo tuendelee kusubiri kwa matumaini. Hii lugha haipishani na ile ya kiranja wako Pinda ambaye kila siku anakariri, ”tumejipanga........”

Tena unaongeza bila aibu, ”Tuacheni tufanye kazi na nyie endeleeni kutunga ngojera kuhusiana na usafiri wa reli lakini sisi tunajua tunachokifanya kwani niliposema usafiri wa reli unaanza mwezi Oktoba sikumaanisha utaanza Oktoba Mosi kwani hata Oktoba 15 ipo ndani ya mwezi huo huo Ndio lazima tuchonge ngonjera kwa sababu umekuwa mwongo!!! Kama hukumaanisha Oktoba mosi, sema sasa Oktoba ngapi na uache kujing’ata ulimi kwani heshima yako inaanza kushuka kwa kasi.
 
Tumeona reli za Dar zilivyotengenezwa, wametoa 2 weeks more kwa kumalizia minor issues & SUMATRA kutoa kibali...
Ila kila kitu kipo sawa any time kabla ya muda huo train itaanza kazi ya kusafirisha abiria Dar....

hizi ndio zile lugha sizipendagi. Eti, "anytime kabla ya muda huo train itaanza kazi." wewe una tofauti gani sasa na waziri wako huyo. bila timeline mambo hayaendi ndugu yangu. tuanze kujipima kwa kuangalia matokeo na sio mipango
 
Wakenya wanatuzidi vingi kaka. 1, kiswahili kimeanzia kwao sisi tunakidandia tuu. 2, mlima Kilimanjaro wanautangaza ni wao mpaka nilimsikia mzungu mmoja akisema kuwa alidhani Tanzania ni moja ya mikoa ya Kenya sie tumkaa KIMYA ila bibi wa Malawi kufanya UTAFITI tu wa mafuta TUNAMTANGAZIA VITA. 3, barabara ya kuuunganisha Musoma na Arusha "nadhani" kupitia mbuga ya Serengeti haitajengwa kwa sababu Kenya hawaitaki. 4, katiba mpya wanayo, na kadhalika.
mie nakushangaeni siku zote mlikuwa hamjajua kama huyu ni HOT AIR?

Mimi namjua sana toka enzi zake za pale mnazi mmoja alipokuwa na na ofisi jengo la ushirika na mwenzie aliyeamua kurudi kufundisha UD bwana MVUNGI

Sasa wakati sisi tunaletewa upuuzi wa treni isyo na kichwa wala miguu tazama kule Nairobi na commuter trains zao zilivyo safi na kueleweka

Nairobi-Commuter-Train-Route-Map-rev2.jpg

MTW7h.png

AuDWM9QCIAEnUEM.jpg:large

scaled.php

AuDlaUlCAAIwVYo.jpg:large



[youtube]http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=FbwS8mWJT6U[/youtube]

Syokimau Railway Revolution - YouTube

[youtube]FbwS8mWJT6U[/youtube]


Halafu mnaanzisha thread kuuliza eti wakewnya wamewazidi nini
 
Wakenya wanatuzidi vingi kaka. 1, kiswahili kimeanzia kwao sisi tunakidandia tuu. 2, mlima Kilimanjaro wanautangaza ni wao mpaka nilimsikia mzungu mmoja akisema kuwa alidhani Tanzania ni moja ya mikoa ya Kenya sie tumkaa KIMYA ila bibi wa Malawi kufanya UTAFITI tu wa mafuta TUNAMTANGAZIA VITA. 3, barabara ya kuuunganisha Musoma na Arusha "nadhani" kupitia mbuga ya Serengeti haitajengwa kwa sababu Kenya hawaitaki. 4, katiba mpya wanayo, na kadhalika.

kwenye red, una hakika?
 
Kama bado una imani na kina Mwakyembe utakuwa kwenye dunia ya zamani sana hawa ni watu wa maneno vitendo hakuna. Huwezi kuwa waziri ambaye uhusishi wataalamu kwenye maamuzi kama hayo kuwa hivi tukitaka kuanzisha usafiri wa treni katika miundombinu hii itachukua muda gani kuwekwa vizuri ili tuanze kazi badala yake unakuja kututangazia utumbo halafu unasema hata oktoba 15 nae ni oktoba hopeless
 
DK nilimsangaa sana alipofananisha MUUNGANO wa UJERUMANI na huu wa kwetu!
 
Mwakyembe unasajili tren lenye miaka zaidi ya 50 na unakataa magari mazuri aina ya coster au nissani safi kweli hili nchi ni kichwa cha mwendawazimu
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, huku treni, huku mwendo kasi chaguo ni lako, kaza buti twende kwenye nchi ya ahadi. Maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana. It can be done, play your part!
 
Mkuu wangu kwa mawazo haya hauna tofauti na wale wanaopewa pilau,tshirts,na pombe za kienyeji wakaipigia kura CCM! Pili nikujulishe kama wakati wa uongozi wa Mwalimu ulikua bado mdogo ama hujafika mjini,aliondoka madarakani mipango hii ya kuwa train kwa usafirishaji wa mizigo na abiria imeisha andaliwa! Ni watawala wavivu na dhaifu toka chama chako cha CCM waliofuata waliharibu kila kitu! Mfano kulikua na njia ya reli ya kutoka mjini kwenda Wazo,wenzako wameiua na kugawiana viwanja. Matokeo milori mikubwa inayobeba sementi inatuharibia barabara na kusababisha ajali kila siku!

China walikuwa na mfumo uliodumaza maendeleo ya kiuchumi kwa miaka mingi. Lakini walipoachana na mfumo na kufanya total overhaul wamefanikiwa. Dr Mwakyembe na wengine wanaojaribu kujenga juu ya mfumo huu unaosimamiwa na sisi emu hawawezi kifanikiwa, je unaweza kupitisha treni kwenye Reli ya "MBAO". Tafakari chukuwa hatua.
 
KLM wanaposema ndege itaruka saa 11:45 basi tegemea saa11:40 ndege itaanza kutembea tayari kuelekea njia ya kurukia. Haya ndio matarajio ya kizazi hiki. Kama kuna hitilafu, tutatangaziwa ndani ya muda wa kutosha kuwa ile ndege iliyokuwa iruke saa 11:45 sasa itaruka saa 12:45...hakuna longolongo.

Mwakyembe ulisema treni zako zitaanza 'kuruka' Oktoba. Sasa kwa akili ya haraka, kama hujataja tarehe sisi tunachukulia Oktoba mosi. Leo unasema, "Nipeni muda wa miezi sita ili muweze kuona sekta ya reli itakavyokua imekamilika nchini.... "Unataka kutuzuga kuwa sio Dar bali nchi nzima hivyo tuendelee kusubiri kwa matumaini. Hii lugha haipishani na ile ya kiranja wako Pinda ambaye kila siku anakariri, ”tumejipanga........”

Tena unaongeza bila aibu, ”Tuacheni tufanye kazi na nyie endeleeni kutunga ngojera kuhusiana na usafiri wa reli lakini sisi tunajua tunachokifanya kwani niliposema usafiri wa reli unaanza mwezi Oktoba sikumaanisha utaanza Oktoba Mosi kwani hata Oktoba 15 ipo ndani ya mwezi huo huo Ndio lazima tuchonge ngonjera kwa sababu umekuwa mwongo!!! Kama hukumaanisha Oktoba mosi, sema sasa Oktoba ngapi na uache kujing’ata ulimi kwani heshima yako inaanza kushuka kwa kasi.

haya nayo ni mawazo ya mtu mzima ama?no wonder our country is poor hii reasoning yako haitoshelezi hata ku run family
 
Mwakyembe yuko ok anaweza hakuna haja ya kumdhihaki na kumkatisha tamaa tumuunge mkono, kwani ushujaa aliouonesha tangu achukue nafasi hiyo ni mkubwa sana ebu angalia alivyowasambaratisha wale waharibifu wakubwa waliokuwa wakijifanya ni miungu wa bandari akina Mgawe,Julius Mfuko na Ahmad Koshuma.
Mungu mbariki Mwakyembe katika shughuli zake za kila siku
 
Mwakyembe yuko ok anaweza hakuna haja ya kumdhihaki na kumkatisha tamaa tumuunge mkono, kwani ushujaa aliouonesha tangu achukue nafasi hiyo ni mkubwa sana ebu angalia alivyowasambaratisha wale waharibifu wakubwa waliokuwa wakijifanya ni miungu wa bandari akina Mgawe,Julius Mfuko na Ahmad Koshuma.
Mungu mbariki Mwakyembe katika shughuli zake za kila siku

Mwakyembe acha maneno meeeeeeeeeeeeengi, TRENI iko wapi? Leo 17 Oktoba ati!
 
Mbona oktoba haijaisha? I gekuwa imeisha basi kungekuwa na hoja. Mbona hekimainasema kwa kutotaja tarehe hawakutaka kujifunga. Binafsi nasubiri ifike November moja ndio niweze kusema lolote.
 
ooh,BORGIAS nimeona, picha ulizopost za city train nchini kenya, naamini mheshimiwa mwakyembe akiziona atakwambia wewe ni darasa la saba, unatunga ngonjera, ila yeye mashairi yake yatakamilika mwezi october hapo ndo utajua kenya wanatuzidi nini? wanasiasa staili ya mheshimiwa ni walipukaji; mfano yeye anatumia toyota land cruiser kwenda kwao Mbeya akibanwa haja popote anachimba dawa, wewe kwenye bus tumeweka vituo maalum,je? alijipanga au alikurupuka kwa kuwa hapa hakuhitajiki mtaji zoezi linaonekana limefanikiwa ilibidi serikali itoe fedha kwa wamiliki wote wa mabus ili wakarabati mabus yao na kuweka vyoo vya dharura. city train si maigizo anapaswa awe serious na mradi huo hata kama utafanikiwa yeye akiwa ametoka madarakani atakumbukwa tu. najua anataka train hiyo iitwe ya mwakyembe ndipo tatizo lilipo jamani sasa watanzania hatuhitaji panadol kwa magonjwa yetu,tumechoka kuitana fisadi kwa hizi panadol tunahitaji full dose ya ugonjwa husika
 
Ni kweli aliahidi October na bado hajafanikiwa kutimiza alichoahidi, lakini angalau tumeona jitihada alizoweka na nia ya dhati aliyonayo. Inawezekana anakwamishwa au amekwama lakini hata jitihada kidogo alizofanya ni sawa na bure? Mawaziri wangapi wamekaa pale kwenye wizara husika hata wazo wahakuwa nalo? Mnyonge mnyongeni lakini ujira wake mpatieni.
Basi kama hivyo kiungwana anatakiwa atoe update! ameahidi mengi watu wanasubiri kule Air tanzania alisema nako analeta ndege mpaka leo bado, banadarini nako alisema kitu sijui kafikia wapi atupe update kidogo!
 
mimi ile ahadi ya kuigeuza kigoma kuwa dubai ndiyo naisubiri kwa hamu sana.itaturahisishia sana sisi wafanyabiashara tunaoingiza bidhaa kutoka dubai,badala yake tutazifuata hapo kigoma tu na kuzisambaza mikoani na nchi jirani,nategemea kupata faida mara dufu
 
Back
Top Bottom