mie nakushangaeni siku zote mlikuwa hamjajua kama huyu ni HOT AIR?
Mimi namjua sana toka enzi zake za pale mnazi mmoja alipokuwa na na ofisi jengo la ushirika na mwenzie aliyeamua kurudi kufundisha UD bwana MVUNGI
Sasa wakati sisi tunaletewa upuuzi wa treni isyo na kichwa wala miguu tazama kule Nairobi na commuter trains zao zilivyo safi na kueleweka
[youtube]http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=FbwS8mWJT6U[/youtube]
Syokimau Railway Revolution - YouTube
[youtube]FbwS8mWJT6U[/youtube]
Halafu mnaanzisha thread kuuliza eti wakewnya wamewazidi nini