Tafadhali elewa pia Oktoba inaweza kuwa 2013, au hata 2015!
Usafiri ni zaidi ya mabehewa.......miundombinu inabidi iwe tayari na huduma itolewe kwa faida. Stay tuned
Mkuu hapo kwenye RED umenena!
Tafadhali elewa pia Oktoba inaweza kuwa 2013, au hata 2015!
Usafiri ni zaidi ya mabehewa.......miundombinu inabidi iwe tayari na huduma itolewe kwa faida. Stay tuned
Bukyanagandi, sijui una umri gani lakini ngoja nikurudishe nyuma kidogo...unamkumbuka Raisi mstaafu Ali Hasan Mwinyi alivyoingia madarakani kwa mwembwe?...eti na fagio la chuma! Unamkumbuka Raisi mstaafu Benjamin William Mkapa?...eti na utandawazi na uwajibikaji! Huyu Raisi wa sasa je?...eti kasi, ari na nguvu mpya! Sitawataja mawaziri waliomtangulia Mwakyembe na mwembwe walizoingia nazo wakati wanateuliwa ila nitamtaja moja, mwanasheria Waziri Mkuu Pinda, sina hakika kama bado yupo lakini safari ya mwisho nililolisikia ni lile la wananchi kukamatwa kwa kumzomea! Hiyo ndiyo Tanzania yetu, huo ndio mfumo wetu na hao ndio viongozi wetu...Mwakyembe? mmh, sina hakika lakini katu huwezi ukapanda mbaazi ukavuna nyanya!Mkuu nashukuru sana kwa hilo, labda niweke wazi kwamba sio kwamba huwa nam-support Mh.Mwakyembe blindly in fact kuna thread fulani niliwahi kumshambulia sana ntajaribu kui-trace hiyo ilikuwa mwaka jana, lakini pamoja na mapugufu yake kama binadamu - alipo teuliwa kuwa Waziri nilivyo ona anavyo fatilia utendaji kazi katika wizara yake kidogo hiyo ilinipa matumaini sana, niakaona finally jamaa huyu anaweza kutukwamuwa kutoka katika lindi ya ukosefu wa uwajibikaji katika TAIFA letu - I might be wrong, lakini tujaribu kumpa moyo ili tuone kama atafanikiwa ku-deliver goods au atatuacha kwenye mataa, mkuu hata akiwa a jack of all trade finally mambo yatajipa kama ana moyo wa kweli wa kukwamuwa TAIFA letu. Once again thanks a lot kwa angalizo lako "OBIBEMU".
watu wana upuuzi mmoja kuna mtu ametoa picha za treni za Nairobi na akaanza kukejeli kuhusu za kwetu wakati inajulikana pasi shaka kuwa Mwakyembe ametumia bajeti isiyozidi Tshs 4 bio. kuanzisha commuter trains kwa kupitia mabehewa, njia na vipuri tulivyonavyo na si vipya! Sasa badala ya kumpongeza kwa kutoa ajira na kutumia gharama kidogo watu wana CCM wa makundi (i guess) wanaanza kumfitinisha wakati huyu huyu Mwakyembe tumemuona akisaini air agreements na kutafuta wawekezaji wa Railway ya kati huko Ujerumani katika kipindi kisichopungua miezi sita tangu akwae wizara ile! na pia tumemuona huyuhuyu Mwakyembe akiwaajibisha watu mafisadi katika mashirika na pia tumemuona akikataa ku-extend leasing agreement ya aircraft za ATC toka Dubai firm kwa vile zilikuwa hazina manufaa! Kusema kweli kuna watu wanaudhi na huwa sidiriki kusita kuwatukana maana akili zao nathani ni punje ya mchele! Wamuache jamaa afanye kazi zake kwa nafasi tunajua hata bandari inatengamaa kwa kasi ya ajabu! Mie nina uhakika kwa usimamizi wa mwakyembe hata haya mabehewa tutakayotumia yanaweza kununua mabehewa mapya kabisa mbali na njia za usafiri (reli) kupanuka!
watu wana upuuzi mmoja kuna mtu ametoa picha za treni za Nairobi na akaanza kukejeli kuhusu za kwetu wakati inajulikana pasi shaka kuwa Mwakyembe ametumia bajeti isiyozidi Tshs 4 bio. kuanzisha commuter trains kwa kupitia mabehewa, njia na vipuri tulivyonavyo na si vipya! Sasa badala ya kumpongeza kwa kutoa ajira na kutumia gharama kidogo watu wana CCM wa makundi (i guess) wanaanza kumfitinisha wakati huyu huyu Mwakyembe tumemuona akisaini air agreements na kutafuta wawekezaji wa Railway ya kati huko Ujerumani katika kipindi kisichopungua miezi sita tangu akwae wizara ile! na pia tumemuona huyuhuyu Mwakyembe akiwaajibisha watu mafisadi katika mashirika na pia tumemuona akikataa ku-extend leasing agreement ya aircraft za ATC toka Dubai firm kwa vile zilikuwa hazina manufaa! Kusema kweli kuna watu wanaudhi na huwa sidiriki kusita kuwatukana maana akili zao nathani ni punje ya mchele! Wamuache jamaa afanye kazi zake kwa nafasi tunajua hata bandari inatengamaa kwa kasi ya ajabu! Mie nina uhakika kwa usimamizi wa mwakyembe hata haya mabehewa tutakayotumia yanaweza kununua mabehewa mapya kabisa mbali na njia za usafiri (reli) kupanuka!
tena kwa sasa pale bandarini kutoa gari huchukui muda mrefu kama ilivyokuwa zamani,tatizo ni wafanyabiashara wa mabasi ya daladala hapo dsm wanadhani uwepo wa train ndio kufa kwa biashara zao,sasa hatuwezi kuwafaidisha wachache na kuwaumiza watanzania waliowengi,na kama ni hivyo basi nchi zilizoendelea zisingekuwa na subway ama town train ili kuwalinda wafanyabiashara wa mabasi.
tuache upuuzi watz,tuwape nafasi mawaziri wanaonyesha mwanga,na ni kweli inawezekana tatizo kuna vikwazo vingi sana moja wapo ni mtoa mada hii
Crucifix, heri hata usihangaike na hawa wapuuzi, Tanzania haitasogea hadi mapinduzi ya kifikra yafanyike na watu kama hao walio usingizini waamshwe ikibidi hata kwa mijeledi. Ni Mwakyembe mwenyewe aliyekurupuka na kuwapa matumaini Watanzania kwa kutangaza tena kwa mbwembwe kwamba treni zingeanza mwezi Oktoba.
wabongo kelele nyingi sana,hampendi kuona watu wakifanikiwa ktk malengo yao,makyembe hajasema kuwa reli za dsm zitaanza baada ya miezi 6,ila alichokisema ni ukarabati wa reli ambao hauingiliani na mtandao wa reli za dsm
tuache kulazimisha mambo na kuona kuwa kiongozi hafai kwa kuunganisha matukioa yasiyo fanana.namkubali makyembe kwani anasimamia kile anachokiongea,je miaka yote 50 iliyopita dsm ilikuwa hata na wazo la kuwa na train za kusafirisha abiria? tumpe nafasi makyembe naimani tutafika kule tutakako kwa kuwatumia hawa mawaziri wa 3 yaani
1.mwakyembe
2.kagasheki
3.magufuri
wanasimia kile wakisemacho,tusilete propaganda hapa za kutaka kumwangusha na kuona si mkweli.
Please revisit my post, kama una an axe to grind na Mh.Mwakyembe please keep it to yourself - reading between the lines unaonekana wazi wazi una chuki binafsi na Mh.Mwakyembe!!! Hebu come clean utueleze kama na wewe au ndugu/jamaa yako wamekwaa upanga wa Mwakyembe katika harakati zake za kuweka mambo sawa, ukajikuta unakuwa muhanga wa fagio lake la CHUMA, chuki zako kwa mzalendo huyu sio za kawaida hata kidogo - hebu jaribu kusoma majibu ya watu wenye a brilliant analytical mind kama GEZA hapo juu, compare na ku-contrast majibu ya kwako - baada ya zoezi hilo nadhani utapa picha kamili ulivyo kuwa wired, usifikili nashindwa kutumia tirade kama za kwako a MEGATIMES - kumbuka hapa tunabadilishana mawazo sio kutuniana misuri.
Nakubaliana na wewe, viongozi wengi Mwakyembe akiwa mmoja wao wamesahau wapiga kura ni waajiri/wateja wao. Tunapaswa kupewa taarifa sahihi na siyo kutufanya kama watoto wadogo, hakuna aliyemlazimisha kutangaza kuwa usafiri wa reli utaanza Oktoba, na kwa mtizamo huo huo alipaswa kuja kusema kama haitawezekana tena kuanza oktoba, basi lini utaanza badala ya kutoa kashfa. Ni dharau ya ajabu waziri kuamini anawajibika kwa Rais pekee na si kwa wapiga kura/walipa kodi.
Aliyeleta mada hii sitaki kuamini kuwa ana chuki binafsi na mwakyembe na kama ni kweli basi atakuwa miongoni mwa waliotimuliwa na mwakyembe. Kwa upande wangu mwakyembe bado hajaangukia kwennye lawama kwani oktoba haijesha na ndio maana hakutaja tar. Hata hiyo KLM uliyotolea mfano na ukasema kama inaruka 11:45 basi huanza kutembea na dakika 40 hii nayo kisha ifanya kwa kuzitest treni zote mbili kwahiyo wewe endelea kuamini kuwa mko tayari ndani ya ndege na muda wowote ndani ya mwezi huu itaruka. Mwisho nakushauri uwe mvumilivu,wizara kakabidhiwa juzi na kwa juhudi zake binafsi kaibuka na mpango huo hata miezi 3 bado kuisha wewe subira imekushinda? Subiri kwanza oktoba ikiisha ndio urejee na lawama zako.
Hebu tupe na ahadi za ze piipoooz!MAJIBU 10 BORA YA MAWAZIRI WETU...
1. Jambo hili tumelisikia, limetugusa, tunalitafakari na tunaamini tutalipatia ufumbuzi.
2. Serikali ina mkakati kabambe.
3. swala hili liko ktk mchakato na tutawajulisha wananchi litakapokamilika.
4. Mipango na mikakati imekamilika na sasa tuko na mazungumzo na wafadhili.
5. Sisi kama Serikali tumejipanga kuhakikisha tunaitatua kero hiyo.
6. Lakini pia kufikia malengo ya milenia ifikapo 2015.
7. Hili jambo hata sisi linatunyima usingizi kwa kweli.
8. serikali inajitahidi ila kuna changamoto nyingi.
9. Tunajadiliana na timu ya wataalamu wetu.
10. Serikali imeunda tume...
Watanzania kwa kuwa na negative trains of thought hamjambo.Dr. Mwakyembe amebebeshwa bomu kumlipua kisiasa, hizo train zitahujumiwa na mwisho wa siku tusubiri kuzika na kuuguza maelfu ya watanzana. There are a lot of questions need to answered kabla ya huo usafiri kuanza,
1) Ubora wa hayo mabehewa na usalama wa njia za reli
2) Ubora wa vituo na usalama wa abiria
3) Usimamizi na ukusunyaji wa nauli
and many more
To me usafiri ni jambo zuri, but safety is my first concern. Unasafirisha watu kwa treni wakati reli mbovu, hiyo akili? Tembea duniani ujifunze miundombinu ya wenzetu wanaofanya usafiri kama huo, kabla ya kuita watu negativeWatanzania kwa kuwa na negative trains of thought hamjambo.
Kwa hiyo kwa sababu hizo hapo juu usafiri wa treni wala usifikiriwe?
People love to live in their own boxes of thoughts!