KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Unamw?gelea Mwakyembe huyu huyu aliyetuonyesha selfie za Masogange! Na Sitta yupi? Aliyesema ataenda mahakamani jina likikatwa?
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.
Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....
Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?
Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......
TRA wanahusika direct na ulinzi wa kontena?
au zilipotolewa kuna forged documents?
walinzi wa gate no 5 ni waajiriwa wa TRA?
Salaam alyikum,yahe!mbona wamtetea sana Bade,acha asimamishwe ili uchunguzi huru ufanyikeSasa walinzi wa TPA ndio kamishna wa TRA afukuzwe?
unaona ni busara?
Swadakta !
Kama hamkubali kamishna utendaji angemuondoa tu na kumbadilisha
ila kusema kafukuzwa kazi kisa wizi wa kontena huoni kama
kamdhalilisha mtu? ulinzi wa kontena sio direct responsibility ya kamishna wa TRA...
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?
Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!
Kwa mtazamo mwingine ni kuwa TPA walifanya kazi yao, walifanya records za containers na wenye containers walilipa custom duties kama kawaida ndio maana records zipo wazi TPA...
Shida ipo huko TRA, ICT ya TPA na walinzi wa TPA Gate 5, kuna rushwa zilitembezwa hapo ili containers zipitishwe bila TRA kulipwa kodi stahiki, maana yake inawezekana wafanyakazi wa TRA walikuwa na records zilizotumwa na TPA, lakini wao kwa kupewa rushwa wakatoa release order bila kupokea malipo...
Mchezo ulichezwa na maafisa wa TRA, ICT ya TPA na walinzi...huwezi kuihusisha TPA moja kwa moja coz tayari management ilipokea containers, walitoza custom duties na kurelease docs TRA..ndivyo nilivyoelewa!
Sasa walinzi wa TPA ndio kamishna wa TRA afukuzwe?
unaona ni busara?
Kwa mtazamo mwingine ni kuwa TPA walifanya kazi yao, walifanya records za containers na wenye containers walilipa custom duties kama kawaida ndio maana records zipo wazi TPA...
Shida ipo huko TRA, ICT ya TPA na walinzi wa TPA Gate 5, kuna rushwa zilitembezwa hapo ili containers zipitishwe bila TRA kulipwa kodi stahiki, maana yake inawezekana wafanyakazi wa TRA walikuwa na records zilizotumwa na TPA, lakini wao kwa kupewa rushwa wakatoa release order bila kupokea malipo...
Mchezo ulichezwa na maafisa wa TRA, ICT ya TPA na walinzi...huwezi kuihusisha TPA moja kwa moja coz tayari management ilipokea containers, walitoza custom duties na kurelease docs TRA..ndivyo nilivyoelewa!
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.
Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....
Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?
Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......
Hapo hilo linawezekana bila kamishna wa TRA kujua
maofisa wa chini waka forge documents...na walinzi wa TRA wakaruhusu kontena zipite
na wenye kontena kama hawajalalamika it means wanahusika...
kamishna kaonewa..yeye kazi yake kuu ni kukusanya mapato nchi nzima
sio kulinda makontena bandarini