The Boss na mimi naomba nichangie kidogo...
1. mwakyembe ana file chafu sana hasa linalohusisha shirika la ndege..kama wataamua kulifanyia kazi atashtakiwa kama wale wafanyakazi wa shirika la ndege walioshitakiwa..wizi alioufanya hapo ATCL ni mkubwa sana na kama haki itatendeka fast jet itakufa maana wengi ndo wamewekeza huko...
2..inaonekana unamtetea huyo bade ...kwa lililotokea amestahili kusimamishwa..kwa uchunguzi uliofanyika ni miongoni mwa watanzania ambao hawaweki hela bank na badla yake wanaweka kwenye sim tank na kutundikwa juu kana kwamba lina maji kumbe limejaa pesa..kuna mwingine yeye nyumbani kwake mahali anapopaki magari kwa chini amezika sim tank mbili na kisha kupaweka level juu zinapaki gari kumbe chini kafukia mabilioni ya hela..mwingine yeye nyumbani kwake ana chumba cha siri (underground room) anatumia chumba hicho kufichia pesa..
mda huwa ni hakimu mzuri sana nyie subirini mbona bado.......