Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

Nchi ya maigizo hii.

Sijui kwanini sijawahi kumuelewa Mwakyembe toka asubuhi ile ya February 7 mwaka 2008

Na wala hutaweza kumuelewa Mwakyembe kwa sababu kumuelewa mtu huyu kunahitaji na wewe utimie vizuri kichwani kama alivyo yeye Dr Mwakyembe.Rudi darasani haraka.
 
" wanaweka kwenye sim tank na kutundikwa juu kana kwamba lina maji kumbe limejaa pesa..kuna mwingine yeye nyumbani kwake mahali anapopaki magari kwa chini amezika sim tank mbili na kisha kupaweka level juu zinapaki gari kumbe chini kafukia mabilioni ya hela..mwingine yeye nyumbani kwake ana chumba cha siri (underground room) anatumia chumba hicho kufichia pesa.."
We umeyajua vipi hayo..?
 
Mwakyembe alichafua kwa kupandikiza ukabla kuwaajiri ndugu zake watupu huku akishiriki kuiba sana, Mzee sita na yeye aliiba zaidi huku akihujumu Reli na kuwafanya Wamiliki wa maroli mladi wa kuchukua pesa kwa kisingizio kuwa akifufua Reli na treni za mizigo watazuiwa kupakia mizigo.kila mmoja alikuwa mwizi kwa syle yake lakini mwisho wa siku wote hawakuisaidia bandari chochote.
Kawaweka watu gani? Wataje basi. Mambo ya kusimuliwa...
 
Nchi ya maigizo hii.

Sijui kwanini sijawahi kumuelewa Mwakyembe toka asubuhi ile ya February 7 mwaka 2008

Nimi February 7 2008, nilimwelewa Dr Mwakyembe. Siku pekee ambayo sikumuelewa na sitamuamini tena ni pale alipoikana Thesis yake kwenye Bunge la Katiba. Tangu siku ile sikumuamini tena kile anachosimamia kama msomi mkubwa wa PhD ya Sheria. Afadhali angekaa kimya(ambapo ingeeleweka tu kwamba anaogopa ku-declare interest), lakini kwa kitendo cha utetezi wowote ambao bado ulikua unapingana na maudhui ya Thesis, nilishtuka sana!
 
Mwakyembe alichafua kwa kupandikiza ukabla kuwaajiri ndugu zake watupu huku akishiriki kuiba sana, Mzee sita na yeye aliiba zaidi huku akihujumu Reli na kuwafanya Wamiliki wa maroli mladi wa kuchukua pesa kwa kisingizio kuwa akifufua Reli na treni za mizigo watazuiwa kupakia mizigo.kila mmoja alikuwa mwizi kwa syle yake lakini mwisho wa siku wote hawakuisaidia bandari chochote.

Mwakyembe ni mnyakyusa, na wanyakyusa ni wakabila sana,,, sishangai kujaza wanyakyusa hapo
 
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......

Tatizo la wengi wanaukumbi huu ni mashabiki sio wachunguzi.hao mawaziri uliowataja ni wasanii hupenda sifa lakini sio wachapakazi.na mpenda sifa hununua waandishi wa habari na wengine hulipwa kuchangia kwenye mitandao kwa kuwasifia
 
The Boss na mimi naomba nichangie kidogo...

1. mwakyembe ana file chafu sana hasa linalohusisha shirika la ndege..kama wataamua kulifanyia kazi atashtakiwa kama wale wafanyakazi wa shirika la ndege walioshitakiwa..wizi alioufanya hapo ATCL ni mkubwa sana na kama haki itatendeka fast jet itakufa maana wengi ndo wamewekeza huko...

2..inaonekana unamtetea huyo bade ...kwa lililotokea amestahili kusimamishwa..kwa uchunguzi uliofanyika ni miongoni mwa watanzania ambao hawaweki hela bank na badla yake wanaweka kwenye sim tank na kutundikwa juu kana kwamba lina maji kumbe limejaa pesa..kuna mwingine yeye nyumbani kwake mahali anapopaki magari kwa chini amezika sim tank mbili na kisha kupaweka level juu zinapaki gari kumbe chini kafukia mabilioni ya hela..mwingine yeye nyumbani kwake ana chumba cha siri (underground room) anatumia chumba hicho kufichia pesa..

mda huwa ni hakimu mzuri sana nyie subirini mbona bado.......

hahahaha hatari sana hii
 
Last edited by a moderator:
Si kwamba Bandari hakuna madudu. Lakini hili suala la makontena haliwahusu. Nu Saada Mkuya na TRA yake.
Mimi Nadhani Bandari inabidi iwe na mamlaka kamili. Yaani wakusanye tozo zao pamoja na kodi na kuipeleka hazina moja kwa moja. Kwanza itapunguza urasimu. Hiki bandari,kile TRA kwa mzigo huo. Iwe desk moja tu. Tozo na kodi hapo hapo.


Hapana kuzunguka mbuyu ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa hawa wezi wote ilikuwa ni network ya mkweree; haikuwa bahati mbaya kwa yeye kumteua yule mama kuwa waziri wa fedha, it was designed kumuweka waziri wa fedha mwanamke weak ili mkweree aweze kuhomola fedha hazina kiurahisi!! Yule marehemu wa kihehe alikuwa anawawekea ngumu wakitaka kuiba ikabidi wamkolimbe!!!
 
The Boss na mimi naomba nichangie kidogo...

1. mwakyembe ana file chafu sana hasa linalohusisha shirika la ndege..kama wataamua kulifanyia kazi atashtakiwa kama wale wafanyakazi wa shirika la ndege walioshitakiwa..wizi alioufanya hapo ATCL ni mkubwa sana na kama haki itatendeka fast jet itakufa maana wengi ndo wamewekeza huko...

2..inaonekana unamtetea huyo bade ...kwa lililotokea amestahili kusimamishwa..kwa uchunguzi uliofanyika ni miongoni mwa watanzania ambao hawaweki hela bank na badla yake wanaweka kwenye sim tank na kutundikwa juu kana kwamba lina maji kumbe limejaa pesa..kuna mwingine yeye nyumbani kwake mahali anapopaki magari kwa chini amezika sim tank mbili na kisha kupaweka level juu zinapaki gari kumbe chini kafukia mabilioni ya hela..mwingine yeye nyumbani kwake ana chumba cha siri (underground room) anatumia chumba hicho kufichia pesa..

mda huwa ni hakimu mzuri sana nyie subirini mbona bado.......

Kwa kuongezea tu mkuu.

Mwambie THE BOSS uchaguzi ushaisha now tujenge nchi, hata kama Maguful hakuwa chaguo lake akubal tu ndo Rais.

Kitendo cha Bade kushindwa kujua Makontena yalyotoka ambapo kule TPA yameonekana ni 349 wakat yeye kasema 312.

Bado akawa anafanya uchunguzi uku wahusika wako kazini ili nikosa kubwa sanaaa.

Kasimamishwa atoe ushirikiano ila kwa vyovyote naye muhusika
 
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?

Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!


Umenena mkuu...
 
Sasa walinzi wa TPA ndio kamishna wa TRA afukuzwe?
unaona ni busara?
Aliulizwa bwana Bade kama anajua hiyo issue akasema anajua lakini mpaka afuatilie, akapewa majina na orodha akaulizwa anajua hao watu na hiyo orodha akasema ndio walikuwa wanafuatilia, nadhani alionyesha udhaifu kwani kama alikuwa na hiyo list na watuhumiwa alitakiwa kuwa keshachukuwa hatua kwao ili aendelee na uchunguzi.
 
Sasa walinzi wa TPA ndio kamishna wa TRA afukuzwe?
unaona ni busara?[/QUOTE

Huyu kamishna wa TRA aitwae Bade anahusishwa na tuhuma nyingi za kifisadi huko alikotoka na hata kuletwa kwake hapo TRA kulikuwa ni kulinda maslahi ya mafisadi papa wa nchi hii. Huyu Bade aliwahi kuwa mkuu wa Barclays bank wakati ule ufisadi wa RADAR na ununuzi wa ndege ya Rais ukifanyika ; benki ya Barclays chini ya uongozi wake ndio waliotengeneza mkopo wa kimagumashi kununlia RADAR na Ndege ya Rais; mkopo ambao sisi wananchi tungali tunalipa!! Umahili wa kufanikisha wizi wa kitaalam ndio uliomfanya mkweree na syndicate yake kumteua Bade kuwa DG wa TRA.
 
Tatizo la wengi wanaukumbi huu ni mashabiki sio wachunguzi.hao mawaziri uliowataja ni wasanii hupenda sifa lakini sio wachapakazi.na mpenda sifa hununua waandishi wa habari na wengine hulipwa kuchangia kwenye mitandao kwa kuwasifia

Mimi nilishasema humu kwa mtu makini huwezi kumsifia Sitta au Mwakyembe ni wanasiasa wanafiki wa kutupwa.
 
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?

Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!


Achana naye huyo. Kila kitu cha Magufuli so far amebeza. Sijui alitaka Rais afanyeje! Au ili mradi ni wa CCM haoni jema.
 
Hapana kuzunguka mbuyu ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa hawa wezi wote ilikuwa ni network ya mkweree; haikuwa bahati mbaya kwa yeye kumteua yule mama kuwa waziri wa fedha, it was designed kumuweka waziri wa fedha mwanamke weak ili mkweree aweze kuhomola fedha hazina kiurahisi!! Yule marehemu wa kihehe alikuwa anawawekea ngumu wakitaka kuiba ikabidi wamkolimbe!!!

Hahaha. Hiyo ni open secret.
 
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......

Usichanganye bandari haikuhusika na upotevu wa makontena ni TRA
 
mwakyembe ni vema sasa akaachana na siasa , hali yake mbele ya macho ya jamii hairidhishi kabisa , angeandika Erythrocyte hapa angeibuka TRUVADA au Mgirik kusakama , haya sasa watu wengine wameyaona madudu yake !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom