The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
- Thread starter
- #41
The Boss, sababu za kumsimamisha zipo, ni sahihi kabisa kumsimamisha.
Kwanza, kitengo kilichovurunda kipo chini yake. Maofisa waliovurunda wapo chini yake, hivyo makosa yao ni makosa yake..indirectly.
Pili, Taarifa za upotevu wa hayo makontenna, na kutolipiwa kodi alikuwa nazo, hakuzifanyia kazi ipasavyo. Kwa mujibu wake, alisema walikuwa wanawasilina na PCCB ili kufanya uchunguzi. Lakini pia walimpiga fine mkuu wa ICD 12B na ndio amelipa 2.5B.
Kwa nini hakuwachukulia hatua maofisa walioko chini yake? Ameulizwa na kukiri live kabisa, we huoni kosa lake?
Kuwachukulia watu hatua inabidi urudi kwenye sheria
labda alikosa nguvu ya kisheria,hatujui
umesikia serikali inataka ibadili sheria za ajira...
kama alisharipoti pccb basi makosa yapo pccb