Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

haaa haaa haaa ndugu uliona zile picha sita akiwa na tajiri wa HSC , mwakyembe naye na wote wamepiga wakiwa dubai hv unafikiri ni kwanini walikutana na huyu jamaa? haikuwa bahati mbaya ila ni kwa makusudi. wizara usafirishaji + bandari na TRA + HSC=...........

url
Salaah%2B7.jpg
IMG_1321.jpg
10747795_1505818026346063_802299687_n.jpg
 
Hakika nimeamini malipo ni hapahapa duniani , wote walioficha ripoti kamili ya RICHMOND wataumbuka vibaya sana ! ama kweli utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Hapo hilo linawezekana bila kamishna wa TRA kujua
maofisa wa chini waka forge documents...na walinzi wa TRA wakaruhusu kontena zipite
na wenye kontena kama hawajalalamika it means wanahusika...
kamishna kaonewa..yeye kazi yake kuu ni kukusanya mapato nchi nzima
sio kulinda makontena bandarini

Kamishna unaanzaje kumtoa kwenye skendo? Hivi ww umefungua glosari yako ukaweka meneja halafu baamed/mhudumu akala loss hata ya bia 5, wewe mmiliki wa glosari utadili na baamedi au meneja? Kama unataka Magufuli adili na maafisa wa chini sasa kuna haja gani ya kuwa na nafasi ya kamishna?
 
Mwigulu na majitambo kedekede licha ya kuwapakazia watu ufisadi,alikuwa analea wizi Ws kutisha TRA bandarini
Safari hii uwaziri wa fedha yeye na wenzake WATAISOMA
NAMBA

Well said Mkuu, halafu nahc hii ni taharifa tu ambayo magufuli anawapa mawaziri waandamizi wa hiz wizara kuwa hawana chao kwenye baraza jipya la magufuli mana ishaonesha madhambi na udhaifu wao japo walikuwa wanajidai ni wachapa kazi
 
Ni.kana.kwamba walijua anakuja mzee wao.wa.mtwara kuziba uchafu wao mungu akawabadilikia

mh rais n vyema hawa mawaziri sita na.mwakyembe waliopitia hizo ofisi wakusaidie kujua.nn.kimetokea kwenye uongozi wao makontena yakaondoka kama redio za chooni

baadae tunaomba wala usiwafikirie.serikali yako uelekee. Kujua kashfa ya billion 200 za.mabehewa zimeishiaje..iweje mtu akalipwa zote kwa mara moja kabla azijaletwa mali husika.nani alikuwa nyuma yake...

Na mungu akuongoze.hon president...
 
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......
Walifanya mpaka pale walipoweza. Hata Magufuli mwenyewe alikuwa akijinasibu kuwa alikuwa chini ya mtu, lakini kwa sasa yeye ni boss. Unadhani Magufuli angekuwa rais nyumba za serikali zingepigwa bei? Think outside the box
 
HAYA MABADILIKO KWA MLIOKUWA.AMFWATILI MLIONA YA.KAWAIDa KWA TULIOKUWA TUNAFWATILIA KASI YA.MWAKYEMBE.BANADARIN.NA.GAFLA.UWANJA.WA NDEGE AKAKAKAMATA KAMATA.MAUNGA GAFLA WAKAMBADILISHA FASTA

NAWAAMBIA HILI.CHAGUZI.SIO...HAWA WANASIRI.NZITO ZAIDI YA.MAKONTENA YALIOPOTEA
 
Mbona unataka kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu? Kwani ni nani amekwambia nchi yetu ina hiyo uliyoiita ,,effieciency ya Uongozi"? Ingekuwepo tungekuwa third world?

Acha kupoteza muda wako kwa kuanza kuchimba na kupekenyua mambo ili mradi tu upate cha kumkosoa Raisi Magufuli kwa ayafanyayo!
Kuna jambo unapaswa ulitambue kama bado haujalitambua kila kitu hapa Duniani ni relative hivyo muache Raisi Magufuli atumikie Uraisi wake ndiyo kwanza ana wiki tatu hivyo siyo fair Duniani hata kwa Mungu kuanza kumuhukumu Kiongozi aliyeko madarakani kwa muda wa wiki tatu, hakuna mtu mwenye akili ambaye atakuelewa Dunia hii kwamba yote haya na shutuma zote hizi ni Raisi aliyeko madarakani kwa wiki tatu tu!


Kumkosoa rais wa week 3 dhambi ila kumsifia rais huyohuyo sio dhambi?
 
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu....

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?......
Hivi mmesoma shule gani jamani.hata kuchangamsha kichwa kidogo huwezi ,wapuuzi kama nyie mngetakiwa kuwa darasani sasahv.hv unashindwa kujiuliza kama tpa kulikua na makosa mbona hawajachukuliwa hatua.na pia unashindwa kujua namna tra inavyofanya kazi bandarini huu ni upuuzi mtupu ulio andika.unawezaje kumuhusisha mwakyembe na sita kwenye ishu ya tra?upeo wako ni mdogo sana ,msome jamani acheni kukurupuka
 
The Boss na mimi naomba nichangie kidogo...

1. mwakyembe ana file chafu sana hasa linalohusisha shirika la ndege..kama wataamua kulifanyia kazi atashtakiwa kama wale wafanyakazi wa shirika la ndege walioshitakiwa..wizi alioufanya hapo ATCL ni mkubwa sana na kama haki itatendeka fast jet itakufa maana wengi ndo wamewekeza huko...

2..inaonekana unamtetea huyo bade ...kwa lililotokea amestahili kusimamishwa..kwa uchunguzi uliofanyika ni miongoni mwa watanzania ambao hawaweki hela bank na badla yake wanaweka kwenye sim tank na kutundikwa juu kana kwamba lina maji kumbe limejaa pesa..kuna mwingine yeye nyumbani kwake mahali anapopaki magari kwa chini amezika sim tank mbili na kisha kupaweka level juu zinapaki gari kumbe chini kafukia mabilioni ya hela..mwingine yeye nyumbani kwake ana chumba cha siri (underground room) anatumia chumba hicho kufichia pesa..

mda huwa ni hakimu mzuri sana nyie subirini mbona bado.......

Brother ....umepotea sana ....uwe unapita na kuacha alama kama konokono ...si kupita kimya tu ....kudos ...
 
Last edited by a moderator:
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.

Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu.

Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?

Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?
kuna watu alikua hawezi kuwagusa kabisa si kosa lao.hata hao akina bade wa tra wanatolewa kafara tu.
 
Si kwamba Bandari hakuna madudu. Lakini hili suala la makontena haliwahusu. Nu Saada Mkuya na TRA yake.
Mimi Nadhani Bandari inabidi iwe na mamlaka kamili. Yaani wakusanye tozo zao pamoja na kodi na kuipeleka hazina moja kwa moja. Kwanza itapunguza urasimu. Hiki bandari,kile TRA kwa mzigo huo. Iwe desk moja tu. Tozo na kodi hapo hapo.

Kwa kuunganisha idara nyingi kama ilivyo sasa, kuna urasimu, kuna ubabe, kuna ujuaji...na kuna miungu watu! Hii ya kuunganisha idara zote hata kama ni kwa kuazimwa iwe na controller mmoja itaongeza sana ufanisi bandarini na kukuza uwajibikaji.
 
Hapo hilo linawezekana bila kamishna wa TRA kujua
maofisa wa chini waka forge documents...na walinzi wa TRA wakaruhusu kontena zipite
na wenye kontena kama hawajalalamika it means wanahusika...
kamishna kaonewa..yeye kazi yake kuu ni kukusanya mapato nchi nzima
sio kulinda makontena bandarini

Utumishi wa umma una kanuni na taratibu zake. Haya mambo ya kupeana kazi kirafiki rafiki na kufanya mambo kwa urafiki rafiki yana shida zake. Who knows? Ni ngumu kujua nini kilichotokea mpaka hali hii ikawezekana. Naamini serikali ina nguvu za kubaini tatizo na kulipatia dawa stahiki
 
Back
Top Bottom