Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 4,051
- 6,473
Panapostahili sifa acha itolewe, kama kutakuwa na mambo yanayohitaji utatuzi wa haraka hayapaswi kusubiri ufumbuzi wa kudumu. Ufumbuzi wa kudumu unaweza chukua miaka kupatika, maana utahitaji kuistudy system nzima ya wizi. Kwa issue iliyotokea haihitaji kuundiwa tume sababu vithibisho viko wazi.